Recent content by MALILA 1

  1. M

    Mchungaji Dar apiga marufuku waumini kuingia kanisani bila sadaka

    Yaani siku hizi watu tunatoa kodi kubwa makanisani kuliko hata serikalin. halafu mafundisho yote ni kuhusu utoaji tu pamoja na kumtunza mchungajii/padre. ilutabiriwa kua siku za mwisho wengi watakua wa kupenda pesa. ukihoji matumizi utaambiwa una pepo. Mtu unaacha jirani hana hata chakula lakini...
  2. M

    Kigoma iko mbele kwa saa moja!

    Kigoma iko magharibi mwa Malawi lakini Kigoma ipo mbele lisaa limoja kwa muda na tujue kua chanzo cha kua hivi ni kurahisisha utawala katika nchi moja. Rwanda na Burundi zingekua sehemu ya Tanzania kama ilivyokua enzi za ukoloni wa Ujeruman basi nazo pia zingetumia longitudo 45. DRC pamoja na...
  3. M

    Wahariri wampuuza Nape

    Nape sijui akiwa hata na mkewe nyumbani hua anaongeaje! Yaan hana lugha ya staha kabisa muda wote yeye ni mipasho tu. Bora Kinana anajua kuongea japo ni sampuli ile ile. Hata hivyo ulitegemea akiri kua intarahamwe (ccm) inahusika? Ni mhariri gan angeandika utumbo kama huo kwenye gazeti lake...
  4. M

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    Poleni sana wafiwa. Ni ajali mbaya nadhani kwa muda mrefu haijatokea kama hii. Halafu maeneo ya Mufindi barabara ina mashimo mengi mazito katikati ya barabara na serikali haichukui jitihada zozote kurekebisha bila kusahau Makambako-Mbeya napo ni mashimo mengi. Jamani tuache kutoa sababu ile ile...
  5. M

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    Poleni sana wafiwa. Ni ajali mbaya nadhani kwa muda mrefu haijatokea kama hii. Halafu maeneo ya Mufindi barabara ina mashimo mengi mazito katikati ya barabara na serikali haichukui jitihada zozote kurekebisha bila kusahau Makambako-Mbeya napo ni mashimo mengi.
  6. M

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    Poleni sana wafiwa. Ni ajali mbaya nadhani kwa muda mrefu haijatokea kama hii. Halafu maeneo ya Mufindi barabara ina mashimo mengi mazito katikati ya barabara na serikali haichukui jitihada zozote kurekebisha bila kusahau Makambako-Mbeya napo ni mashimo mengi.
  7. M

    Fujo Baraza la Wakilishi Zanzibar

    Weka mambo vizuri mkuu mbona unatuacha na maswali mengi!
Back
Top Bottom