Yaani kila mwanaume ameshaanza kumsifia kuhusu uzuri wake wa shape nikimaanisha hips kubwa na makalio makubwa urefu sura na rangi na ni majority of them Sasa kama asilimia kubwa wanasema ndio lazima niogope kwani mpenzi wangu pia yupo hapa na anamuona kila siku
Kwa kweli Roho inaniuma sana
Mimi kinachoniumiza ni wivu huyu dada ana matako makubwa yaani shepu kila kitu ni kizuri Sasa jinsi ya kuacha kujilinganisha nae ndo nashindwa kila nikimuona nachanganyikiwa
Habari zenu matumaini ni wazima wa afya
Niende Moja Kwa Moja mwenye mada Mimi ni ke ninahitaji kuzungumza jambo sio kwamba nimeharibika ila nimekua na presha na mawazo kazini na ninahitaji mtu anisikilize
Nipo kazini Kwa muda wa miaka miwili Sasa na hapa ninaofanya kazi Niko pamoja na mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.