Recent content by Malika 26

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Asantee sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Naombeni msaada wa kua na nguvu chanya naona hii nguvu hasi inanizidia yaani kila ninapokua na furaha Kuna sauti kichwani inaniletea matukio yahofu ili mradi niwe depressed all days
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Mwandishi wa kitabu Cha power of now ni nani
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Nataka kujua mfumo mzma
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Sijawahi kutumia mfumo uliopita
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Mfumo wa online wa kulipa Kodi TRA
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Nimeangalia video lakini sijapata kuelewa ninaoutaka nikimaanisha sijaridhishwa na online training natafuta mtu wa kunifundisha physically
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Msaada mkuu kama unafahamu chochote kuhusu mfumo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Habari zenu nahitaji msaada ni wapi nitapata mafunzo ya IDRAS Iwe ni sehemu, taasisi, au ofisi itakayonisaidia jinsi ya kujifunza mfumo Kwa vitendo Natanguliza shukrani na pia napokea ushauri wowote unaolenga kunisaidia
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Hivi unajua mtu anamzigo kama wa vera sidika au malaika cute
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Yaani kila mwanaume ameshaanza kumsifia kuhusu uzuri wake wa shape nikimaanisha hips kubwa na makalio makubwa urefu sura na rangi na ni majority of them Sasa kama asilimia kubwa wanasema ndio lazima niogope kwani mpenzi wangu pia yupo hapa na anamuona kila siku Kwa kweli Roho inaniuma sana
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Sina uhakika kama anapenda matako makubwa lakini nature ya wanaume wengi wa kiafrika naona wanapenda matako
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Mimi kinachoniumiza ni wivu huyu dada ana matako makubwa yaani shepu kila kitu ni kizuri Sasa jinsi ya kuacha kujilinganisha nae ndo nashindwa kila nikimuona nachanganyikiwa
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Tatizo langu kila nikimuona huyu dada na matako yake makubwa naumia sana natamani nipate confidence ya Zuchu anawezaje kuishi na sim
Back
Top Bottom