Recent content by Malika 26

  1. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Una miaka mingapi mkuu isije ikawa tunalingana umri
  2. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jamani mtoto wa mkulima nitafanya nini
  3. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mambo ya nssf,psssf ,nhif mifuko ya hifadhi ya jamii
  4. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kwani mnaopata kazi serikalini mmesoma kozi gani mbona Mimi hua Sioni kazi za social protection zikitangazwa jamani msaada jamani
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Asantee sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Naombeni msaada wa kua na nguvu chanya naona hii nguvu hasi inanizidia yaani kila ninapokua na furaha Kuna sauti kichwani inaniletea matukio yahofu ili mradi niwe depressed all days
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Mwandishi wa kitabu Cha power of now ni nani
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Nataka kujua mfumo mzma
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Sijawahi kutumia mfumo uliopita
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Mfumo wa online wa kulipa Kodi TRA
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Nimeangalia video lakini sijapata kuelewa ninaoutaka nikimaanisha sijaridhishwa na online training natafuta mtu wa kunifundisha physically
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Msaada mkuu kama unafahamu chochote kuhusu mfumo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Habari zenu nahitaji msaada ni wapi nitapata mafunzo ya IDRAS Iwe ni sehemu, taasisi, au ofisi itakayonisaidia jinsi ya kujifunza mfumo Kwa vitendo Natanguliza shukrani na pia napokea ushauri wowote unaolenga kunisaidia
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mwenzangu wa kike, anafanya kazi kitengo kimoja na mpenzi wangu amefanya niwe na wivu sana na sijuwi nafanyaje hadi sasa

    Hivi unajua mtu anamzigo kama wa vera sidika au malaika cute
Back
Top Bottom