Uzao wa wazungu ulitokana na wana wa Mungu yaani malaika waasi(mafenali) waliofanya uzinzi na wanadamu kwa siri na kutokea uzao huo wa wazungu. Hao mafeneli waliwaaibia baadhi ya siri za Mbinguni na hivyo kuwafanya kuwa utambuzi mwingi.SMungu alimuumba binadamu mwenye rangi nyeusi na siyo...
KAMA POLISI WENYEWE WAMEKIRI KUMPIGA MTU RISASI,WEWE UNABISHA NINI?.....COZ SIYO NDUGU YAKO NDO MAANA UNASEMA HIVYO.......Kumbuka kuwa siyo watenda dhambi pekee ndo watakwenda motoni,Bali hata wale walionyamaza bila kukemea dhambi ikitendeka nao wataiona jehanamu
JPM asifikiri kuwa kuungama kwa makosa anayoyafanya makusudi MUNGU wa haki atamsamehe!.....Je,HUYO Mtoto angekuwa wake,Angekuwa katika hali gani?....Angekuwa jesca angejisikiaje sasa hivi?.....Kama haya anayatenda wakati wa kwaresma,je nikweli atakuwa rais wa malaika akistaafu?.......NINA AMINI...
Ni vyema JPM akakumbuka maneno ya waraka wa maasakofu-TEC na yale ya kakobe...TUBU..TUBU...TUBU!...Hasa kwa wakati huu wa kwaresma!...Asifikiri kuwa damu na dhambi ya waliouwawa ipo juu ya jeshi la polisi tu,Hapana!.Dhambi hii ipo juu yake coz yeye ndiye aliyeapa kuilinda tanzania na watu...
Nianze kwa kusema kuwa TAKUKURU IKO WAPI?
Mnamo mwaka 1998 TBL Ilianzisha mfuko kwa ajili ya wafanyakazi waliokuwa na shere za TBL ikiitwa Tanzania Breweries Employees Share ownership trust fund. Mfuko huu ulisajiliwa RITA chini ya bodi ya wadhamini, ambaye Mwenyekiti wa bodi alikuwa Arnold...
Mwaka 1995 kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi,Hussein Mwinyi aligombea ubunge jimbo la mkuranga....then 2000 akagombea jimbo lake la zanzimbar...............Hussein Mwinyi ni mzanzibari kama alivyo salum mwalimu........Hivyo basi,Salum mwalimu anayo haki ya kikatiba na kisheria...
Hivi dr.shein alipogombea urais wa zanzibar kwa mara ya kwanza 2010 ,Alikuwa na ID ya zanzibar?.....Ukupata jibu hilo,Utajua ni kwa nini Salum mwalimu anagombea ubunge kinondoni ili hali hana ID ya NEC.......lete hoja nyingine mkuu
Corpotare afffair director kajilipa zaidi ya milioni 100 ili hali siyo beneficiaries wa mfuko huo....(hana shares za TBL)
HR Director
Finance Director
Company's secretary
,.....................................
Bodi Uongozi wa TBL,Bila ya kujali kuwa mfuko huo uko chini ya bodi ya udhamini,Waliamua kufoji nyaraka na kuunda bodi bandia ili kujichotea fedha hizo kunyume cha sheria na kujigawia Mithili ya FEDHA ZA MICHANGO ya harusi inavyogawanywa katika kamati zake.
NINI MALENGO YA MFUKO HUO:
Mfuko huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.