Aisee imenitokea hivi karibuni wife ameniacha na kuondoka kurudi kwao kisa sina pesa lakini ushawishi mkubwa wa kuniacha kapewa na mama yake .
Eti anamwambia akatafute mtu mwingine sababu mimi sina pesa na huwa simpi hata mia tano huyo mama mkwe kwa hio sifaahi kuwa na mwanae.
Na hivi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.