Recent content by malembeka18

  1. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Ile shida haikuisha ilipungua kiasi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Mkuu na mim Nina basawari ya ndani inanitesa mno
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Mkuu pole kwakuuguza,jaribu kufika rairobi kama walivyoshauri wadau
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni ugonjwa gani ulidhwahi kukusumbua hadi ukakata tamaa?

    Goita ya ndani ya kupanda kwa hormones thypethyroidsm..nimeshaangaika sana mwaka wa tatu huu nakunywa dawa carmbimazole,nimekata tamaa kwa kweli yakupona sjui dawa Gani itaniponesha nimeambiwa hakuna dawa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Kusaidika hapo nikuanza dawa sindiocwanafanya baada ya kuona presha Iko juu wakishapima
  6. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Hapa nimezid uzito Nina urefu wa 164cm na kilo ni 78kg
  7. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Natakiwa kutumia vipimo Gani sahihi sasa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Ha ha ha hapa nakesi za tra za assessment nilitolewa assessment bila kukagua hesabu zangu wakatoa Kodi ya mamilioni Sasa zinaniumiza kichwa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Alikusaidiaje elezea
  10. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Umri miaka 39,situmii kileo
  11. M

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Nimwezi sasa nakidogo tangu nitoke kuugua malaria nikaanza kunotes presha yangu Iko juu inachezea 150/100 pr 70 baada kumaliza kuugua ikawa hivyo hivyo. Nikaanza kufuatilia ikarudi kuja kuwa normal 130/82 au 135/87 pr 68,72 Sasa Leo nimepima Iko juu inachezea 147/100 pr 64, 141/97 pr 74...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Mzee wangu umri 66 operation ya tezi dume kwa mara ya pili baada ya miaka9

    Habari wakuu nimekuja kwenu kutaka ushauri? Mzee wangu alifanyiwa operation ya tezi dume mwaka2016 akawa freshi tu Sasa mwaka Jana mwezi wa 8 alifanyiwa kipimo Cha tezi dume Cha kupitisha kwenye njia ya mkojo baadae kikamletea shida korodani zikawa zinamuuma sana korodani moja ikageuka inabid...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wazol biashara ( billion dollar business)

    Mkuu kufunguwa kiwanda zalisha mali
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada presha 158/100 pr 57 nifanyaje kushusha presha

    Habari wakuu niwiki Sasa presha yangu Iko juu nimekuja kwenu kutaka muongozo namba Gani naweza kushusha hii presha nisitumie dawa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Ha ha ha ha mkuu kwani usipokua na nguvu zakiume huishi,watoto tayar wapo
Back
Top Bottom