Recent content by malembeka18

  1. M

    Msaada nimeambiwa mkojo una protein3+,na leu2+ nimeambiwa ni uti

    Habar wakuu nimeambiwa Nina UTI nimepewa dawa amosclave na Panadol nin nifanye kutoa protein kwenye mkojo na dawa ipi sahihi kwa UTI kali
  2. M

    Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    Daa mwanangu sikufuata huu ushauri siwalinitisha ooh unataka upoteze hela zako nahuu uchaguzi
  3. M

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Sasa mkuu kwenye m100 hapo kwa hisa za crdb siunaona utapata hisa chache tu
  4. M

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Sasa we unaona hiyo 100m ninyingi kwenye soko la HISA,siunaona mdau anakwambia watu m500
  5. M

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Kiwan kiwango kizuri chakuwekeza kwenye stock ni kiasi gani labda tupe elimu
  6. M

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Mkuu uko njema kwenye maswala ya hisa,Sasa unatushauri nin sisi wenye vimitaji vya 100m tunaotaka kuwekeza kwenye hisa
Back
Top Bottom