Goita ya ndani ya kupanda kwa hormones thypethyroidsm..nimeshaangaika sana mwaka wa tatu huu nakunywa dawa carmbimazole,nimekata tamaa kwa kweli yakupona sjui dawa Gani itaniponesha nimeambiwa hakuna dawa
Nimwezi sasa nakidogo tangu nitoke kuugua malaria nikaanza kunotes presha yangu Iko juu inachezea 150/100 pr 70 baada kumaliza kuugua ikawa hivyo hivyo.
Nikaanza kufuatilia ikarudi kuja kuwa normal 130/82 au 135/87 pr 68,72 Sasa Leo nimepima Iko juu inachezea 147/100 pr 64, 141/97 pr 74...
Habari wakuu nimekuja kwenu kutaka ushauri?
Mzee wangu alifanyiwa operation ya tezi dume mwaka2016 akawa freshi tu Sasa mwaka Jana mwezi wa 8 alifanyiwa kipimo Cha tezi dume Cha kupitisha kwenye njia ya mkojo baadae kikamletea shida korodani zikawa zinamuuma sana korodani moja ikageuka inabid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.