Recent content by malembeka18

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Ha ha ha kwamba miaka 30 inanihusu
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Nilishamuelezaga misingi yangu anaijua vizur tu,kajirud mida hii kujifanya anatuma sms zakuomba msamaha ili aweze kwenda kwakufuta zile kauli zake zakuachana nakugawana mali kudai nihasira tu
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Sasa kama mwenyewe kataka mali sinimemuachia chote tafsiri yake alikua yupo ndoani kwa sababu ya mali
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Hapa kajitumisha sms kujirudi,maana nilikua nimemtumia sms ya kumsisitiza achukua Kila asiache chochote
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Nihatari kwakweli ukizingatia nilikua simfichi juu Kila ntakachota kununua kwa faida yetu,
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Sijawahi kumyanyasa kwa chochote anapata kitu anachoka anasafiri kokote anataka sijawahi mtu au kumuambia maneno ya kashfa
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Yaan nife sababu mke kachukua Kila kitu siufala uo,kwamba mtu akishakufa maisha hayaendelei
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    We 10m unaona ni ishu sana
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Mkuu mshana sijadanganya chochote
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Taratibu za kisheria zipi ndo maana sijataka kuchukua kitu chochote vyoote avichukue,sitaki usumbufu wa mambo ya mahakamani
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Hakuna arrangement nzuri ya watoto
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Habar wakuu nima mke na watoto 3Niko safarini kikazi,gafla ikatokea dharura nyumbani mke Wangu kafiwa na bibi yake mkoa mwingine akanitaarifa,nikamsihi asubiri ndani ya siku3 ntakua nimerud ila watoto wawe salama, Mke akagoma akasema hawezi akasubiria Hadi nije haiwezekani lazma ataenda na...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada lodge nzuri Tanga mjini jirani na stend

    Siunajua mgeni mara yakwanza kufika Tanga,kwaiyo tunauliza tupate sehemu nzuri yakulala usingizi nzuri kuliko changamka nauhakika wa chakula kizur
Back
Top Bottom