Nilishamuelezaga misingi yangu anaijua vizur tu,kajirud mida hii kujifanya anatuma sms zakuomba msamaha ili aweze kwenda kwakufuta zile kauli zake zakuachana nakugawana mali kudai nihasira tu
Habar wakuu nima mke na watoto 3Niko safarini kikazi,gafla ikatokea dharura nyumbani mke Wangu kafiwa na bibi yake mkoa mwingine akanitaarifa,nikamsihi asubiri ndani ya siku3 ntakua nimerud ila watoto wawe salama,
Mke akagoma akasema hawezi akasubiria Hadi nije haiwezekani lazma ataenda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.