Recent content by maleka

  1. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Chanika maeneo ya Mvuti mtaunganisha lini umeme? Miundombinu yote tayari na watu wachache wameunganishiwa. Ni mradi wa REA.\ shukran
  2. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mkuu nahitaji umeme wa TANESCO...nilipo kuna mradi wa REA na baadhi ya watu wachache wamewashiwa wengine tukaambiwa tusubiri...imepita mda mrefu hatujatumiwa hata ujumbe kwenda kulipia...naweza kulipa TANESCO nipate huduma hii? shukrani.
  3. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Miundombinu yote tayari imeshafika na survey imeshafanyika na baadhi ya watu kuunganishiwa umeme...ninachoomba kujua ni kama naweza kulipa gharama hii ya tsh. 150,000+VAT kupata huduma hii mapema zaidi? shukrani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mchanganuo mzuri kabisa... naomba kuuliza..je naweza kulipa gharama hii ya REA kuweza kupata huduma hii mapema zaidi bila kumsubiri mkandarasi wa REA? Survey imeshafanyika ila ni mda mrefu sasa waliopata umeme ni wachache sana. shukrani.
  5. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    nipe taarifa mkuu km unazo
  6. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kujua utaratibu uliotumika kwa watu waliolipia umeme na sasa kuanza kuunganishiwa bila taarifa rasmi kuwafikia wengine. Kwa sasa baada ya taarifa kusambaa zoezi la malipo limesitishwa hatujui hatma yetu ambao hatukupata taarifa na kulipia. ahsant.
  7. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    nashkuru sana kwa kuijali post yangu na kujibu... naomba kujua tutegemee lini kwa makadirio. shukrani tena.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    TANESCO/REA -Kisarawe...tunashkuru kutufikishia huduma ya umeme maeneo ya kati ya Mvuti na Chanika. Naomba kujua lini mtatuwashia umeme...Kila kitu tayari hadi transformer ila hatujajua lini tutakwenda kulipia na kuwashiwa. asant.
  9. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO/REA -Kisarawe...tunashkuru kutufikishia huduma ya umeme maeneo ya kati ya Mvuti na Chanika. Naomba kujua lini mtatuwashia umeme...Kila kitu tayari hadi transformer ila hatujajua lini tutakwenda kulipia na kuwashiwa. asant.
  10. M

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VILIVYOPIMWA/VINA HATI KIGAMBONI VINAUZWA

    ok ..hiyo 158 ni ramani ya vyumba vingapi?
  11. M

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VILIVYOPIMWA/VINA HATI KIGAMBONI VINAUZWA

    unamaanisha mtr 12. kwa 12. hapa utajenga nyumba size gani mkuu..
  12. M

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VILIVYOPIMWA/VINA HATI KIGAMBONI VINAUZWA

    sasa sqm 158 utajenga nyumba gani km 20 X 20 ni sqm 400?
  13. M

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VILIVYOPIMWA/VINA HATI KIGAMBONI VINAUZWA

    mmmh naomba tuoneshe mathematically mtr 20 X 20 ni sqm ngapi pls
  14. M

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa Umeme wa REA

    Naomba mwenye ujuzi anijulishe hatua za kufuata katika kupatiwa umeme wa REA. Shukrani.
Back
Top Bottom