Naitwa mahuzurio mhozya
Niko Rwamgasa Geita
Mtaa wa Nyerere mtu maarufu kushaa

Tatizo la mita yangu inakula Sana umeme kwa mwezi unit 270
Vifaa navyotumia umeme
Friza 3 tv 3 computer 1 kinanda Cha kuchaji simu 1
Zamani nilikuwa natumia unit 80

Namba ya mita yangu Ni 2421 0934329

Naomba msaada wenu
 
TANESCO boresheni huduma kwatunao nunua umeme kwenye simu

Mimi niko kanchi jirani nimependa sana mfumo wao wa kununua umeme kwa njia ya simu hivo ningependa hii huduma itumike hata kwetu iko hivi :-

Unapo fanya muamala kwa mara ya kwanza mtandao hukuhitaji kuweka namba mita ukisha kamilisha muamala wako namba inasajiriwa kwenye mufumo hivo kila ukitaka kununua umeme hautajitaji tena kuingiza namba ya mita utakuta jina lako unachagua unaendelea kufanya muama wako.

Mfano
758c5f1cac1c1068e11e9575c076fcb5.jpg


0ca4850c2988e9c64391b233bbbcd0d0.jpg


39d08e7fc5f6f96f600ffe2c26b11b16.jpg


3f6c48feb2de9dabea97e195732effe8.jpg


6248087427f765a8b1017199bd07a6eb.jpg


Nb. Hata ukitaka kuangalia umeme ulio nunua kwa mara ya mwisho unapata details zote kwa kupitia m pesa
Tumepokea ushauri mkuu
 
Kuna tatizo gani Mbezi Beach B umeme hakuna tangu saa 5 asubuhi na haujarudi mpaka sasa?
 
Ivi jamani Hawa TANESCO huku maeneo ya mapinga had Kerege/bagamoyo,,,,,,,,,,kwann kila siku iendayo kwa Mungu wanakata umeme? Tatizo nn aswa, meneja wa Tanesco maeneo ya kule anapaswa apumzishwe, sisi wenye viwanda vidogo imekuwa ni kero kubwa kabisa, juzi jana na leo saizi washakata, , miezi yote ndio mtindo huohuo
 
Ivi jamani Hawa TANESCO huku maeneo ya mapinga had Kerege/bagamoyo,,,,,,,,,,kwann kila siku iendayo kwa Mungu wanakata umeme? Tatizo nn aswa, meneja wa Tanesco maeneo ya kule anapaswa apumzishwe, sisi wenye viwanda vidogo imekuwa ni kero kubwa kabisa, juzi jana na leo saizi washakata, , miezi yote ndio mtindo huohuo
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Kwetu huku Msongola Yangeyange jimbo la Ukonga Daresalaam tuliwekewa nyaya kubwa (Ht lines) pamoja na nyaya ndogo (Lv lines) lakini tangia mwaka jana mafundi hawajarudi tena!!

Waya tunaziona tu lakini hatuna umeme, hatuwezi kuanza taratibu za kuomba umeme kwa kuwa hakujafungwa Tranfoma, sasa sijui shida ni nini mwezi wa sita sasa tunaziona nyaya tu.

Tanesco Gongo la mboto waseme lolote tatizo liko wapi!??
 
Kwetu huku Msongola Yangeyange jimbo la Ukonga Daresalaam tuliwekewa nyaya kubwa (Ht lines) pamoja na nyaya ndogo (Lv lines) lakini tangia mwaka jana mafundi hawajarudi tena!!

Waya tunaziona tu lakini hatuna umeme, hatuwezi kuanza taratibu za kuomba umeme kwa kuwa hakujafungwa Tranfoma, sasa sijui shida ni nini mwezi wa sita sasa tunaziona nyaya tu.

Tanesco Gongo la mboto waseme lolote tatizo liko wapi!??
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.
Nyumba yangu iko ukonga, meter no. yangu. ni 24219542842, ni nyumba ya wapangaji, walichokonoa luku, nimelipa laki 450,000 mmerudisha umeme, lakini unit mnaniuzia Kwa bei kubwa maana nalipa nikiwa mkoani, unit moja nimejaribu kununua mpesa, 500 napata 0.4 unit!

Hii sio haki, hata kama na riba itoeni! huwa hatuendagi hivyo! Hat dangote hanunui umeme kwa bei hiyo! Jina la meter ni aloyce ryoba. Hata tarrif 3 hawalipagi hivyo. 0765825819
 
Nyumba yangu iko ukonga, meter no. yangu. ni 24219542842, ni nyumba ya wapangaji, walichokonoa luku, nimelipa laki 450,000 mmerudisha umeme, lakini unit mnaniuzia Kwa bei kubwa maana nalipa nikiwa mkoani, unit moja nimejaribu kununua mpesa, 500 napata 0.4 unit! Hii sio haki, hata kama na riba itoeni! huwa hatuendagi hivyo! Hat dangote hanunui umeme kwa bei hiyo! Jina la meter ni aloyce ryoba. Hata tarrif 3 hawalipagi hivyo. 0765825819
Ndugu mpendwa mteja bei halisi ya umeme kwa kundi lako ni tsh 292 kwa unit bila kodi, umenunua umeme wa tsh 500 umekatwa kodi 22.54, deni 375 ndio iliyobaki umeme tarehe 25 leo mumla ya deni lako mpaka sasa ni tsh 1,0152,288
 
Ndugu mpendwa mteja bei halisi ya umeme kwa kundi lako ni tsh 292 kwa unit bila kodi, umenunua umeme wa tsh 500 umekatwa kodi 22.54, deni 375 ndio iliyobaki umeme tarehe 25 leo mumla ya deni lako mpaka sasa ni tsh 1,0152,288
Kikubwa nilichokuwa nikiomba kwenu, ni kutolewa/ama kupunguziwa riba kwenye hili deni, vyuma vimekaza! Kweli katika umeme Wa 500 tu mnakata 375! Sawa na 75%!

Hii si rafiki kabisa Kwa mteja wenu, wekeni japo nusu kwa nusu makato, naumia! Hali yenyewe mnaijua, au japo mkate 45% naomba ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom