Hahahhaah asant sema nili reseat mtihan mwaka mmoja hivo sija bahatika kupangiwa shule ya serikal kuendelea je unaweZ nshaur njia ipi inawez nsaidia sasa kurud katka mfumo wa shule za serikal ili kumudu gharama mana gharam za privat zip juu ndy inanifanya niulze vyuo ili wajiminye pesa ila...
Mimi ni mwanafunz nilie reseat mtihn wa kidat cha 4 mwaka jana nataman kujua ni vipi nawez kuendelea na kidato cha sita kupitia shule ya serikali? Yote wazazi kushindwa gharama za shule za private sasa ni ushaur upi nawez pewa niweze endelea kidat cha sita kwa shule za serikal nina ufaulu wa C4...
Mm ni mwanafunz nilie maliz form four mwaka juz natak kujua kutokana na ufaulu wangu huu kozi ipi nisomee yenye unafuu wa ajira kupatikan
History-C
Literature-C
English-C
Kiswahili-C
Civics-D
Geography-D. Pamoja na ziada ya
Islamic religion-D
Naomba majibu ndugu zangu nipate kujua kozi...
Mimi ni mwanafunzi nilie maliza form 4 nina matokeo haya history-C english-C literature-C kiswahili-C Geography-D Civics-D na la ziada ni islamic-D je nashauriwa kozi ipi ni nzuri Na rahisi kuajiliwa naomba msaada pls
Mimi ni mwanafunzi nilie maliza kidato cha nne naomba kuulza ni kozi ipi nzuri ya ajira naweza kusomea na ikawa rahisi kuajiriwa au kujiajiri yani ambayo bado ina fursa nzuri za ajiraa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.