Recent content by Malcom XX

  1. M

    JamiiForums Tanzania Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

    Wenye akili hawawezi kufikiria kumpigia chapuo January makamba, He is inept leader ever, corrupt and a bandwagon of irresponsibility
  2. M

    JamiiForums Tanzania Shaka : Baada ya kifo cha Hayati Dkt Magufuli,wale wote Waliombeza Rais Samia Ujenzi wa miradi ya kimkakati leo wanaumbuka, Wami ilikuwa 47% leo 89.2%

    Tanzania hakuna mradi wa kimkati tusidanganyanye, Strategic projects we dont have yet.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tabasamu la mauti

    Ndugu zangu wanajamvi imeninibidi niwajulishe haya ninayoyaona huku kijijini kwangu mwagiligili wilaya ya kwimba, wananchi wanatabasamu lakini wakitokwa machozi mioyoni. Kilio kinasikika TOZO TOZO, aliyeitwa mama mponya machungu ghafla amegeuka kuwa mama wa kambo anayenyanyasa watoto yatima...
  4. M

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

    Naona waislamu wanasogezwa ikulu kuna nini kwani??
  5. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Humphrey Polepole?

    Nipo hapa wasemaje?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

    Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake. Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona? Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona? The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kuiondoa CCM madarakani ni rahisi kuliko wakati wowote ule, tuanze kujipanga

    Tukipata tume huru tu inatosha kuwapa maumivu ccm
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuiondoa CCM madarakani ni rahisi kuliko wakati wowote ule, tuanze kujipanga

    Never kwa tume hii ya bwana mahera?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Rais Magufuli alijua kuwa maisha yake yapo hatarini?

    Nimetafakari kwa umakini sana kauli za Hayati Rais Magufuli kuhusu maisha yake, mara nyingi alisikika akisema kuwa 1. Niombeeni Watanzania. 2. Ni ni Rais wa wanyonge nimesacrifice maisha yangu kwa ajili yenu wanyonge na mtanikumbuka siku moja., Je, alifahamu kuwa kuna watu walikuwa ni hatari...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Iko wapi Ripoti Maalum ya CAG iliyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan siku akiapisha mawaziri?

    It was just execultive propaganda to win popularity. Nonsense
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msimamo wangu: Sirudishi biashara zangu Tanzania

    Hujaathiriwa na mfumo huu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msimamo wangu: Sirudishi biashara zangu Tanzania

    Mkuu kuna baadhi ya mambo nayaogopa sana vinginevyo ningeweka documents na claims zote za TRA kuhusu ulipaji wa kodi na hata baadhi ya mawasiliano yangu na TRA kwa emails na simu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msimamo wangu: Sirudishi biashara zangu Tanzania

    Kilichosaidia ni kwamba kuna milioni 900 nilikuwa nimeweka katika benk kuu ya Ethipia ndiyo hawakuweza kuichukua. Sasa hivi nipo najiiimarisha nchini Ethiopia.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msimamo wangu: Sirudishi biashara zangu Tanzania

    Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa watanzania wengi tulioumizwa katika awamu ya tano. Biashara zangu ziliminywa mwanza, arusha, na Dar es salaam. Maofisa wa TRA na TAKUKURU walinyanganya leseni ya biashara yangu na vile vile serikali wakarevoke account yangu kabla ya kuchukua pesa takribani...
Back
Top Bottom