Recent content by malang0

  1. M

    Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6

    Wamekuwa Mungu kujua mawazo ya wanadamu wanawaza nini au ni watu wa rohoni sana hao mawakili
  2. M

    Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

    Jana na leo tumeona wawakilishi wa mabalozi haswa kutoka nchi za Marekani , Uingereza na Sweden kwenye mahakama kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhujumu uchumi na Ugaidi inayomhusu Mh .Mbowe na wenzake watatu. Je hii inatoa tafsiri gani kwenye nyanja za kidiplomasia?
  3. M

    Sabaya akithibitisha Mahakamani kuwa Mbowe na genge lake walitaka kumuua itakuwaje?

    Note. Sabaya na Sirro ni mashahidi upande wa Mbowe si Jamhuri na Kibatala ndiye aliyeomba wawepo siyo Jamhuri.
  4. M

    Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

    Tuanze na kuachwa Mwenyewe huo ni uongo viongozi wote wapo kazini Mnyika kila siku yupo mahakamani na leo kamwakilisha kwenye mazishi ya mama mkwe wake Arumeru. Maombi yanaendelea kila siku mikoa yote makanisani na leo Dr. Shoo kanongesha watamwombea kwa Mwenyezi Mungu. Mh. Lissu yupo kwenye...
  5. M

    Kwanini Lusubilo Mwakabibi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu uchumi lakini ameachiwa kwa dhamana?

    Pale ni geresha ni mtu wao kwenye misafara ya ikwete alikuwepo sana
  6. M

    Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

    Pia Mbowe alikuwepo nchni tangu April hakuwahi kuitwa polisi akakataa kwenda, wamempeleka mahakamani bila wakili wala familia kujulishwa, yeye haoni mhimili mwingine uliomuhukumu? fair ipo wapi mbona anafumba macho?
  7. M

    Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

    Mbowe ni mkistro na amebadizwa katika jina la Yesu Kristro anakili imani hiyo kila akienda kanisani jumapili, wakatoliki ni wakristo wamebatizwa katika Kristo Yesu, wote tunatumia kitabu kimoja yaani biblia takatifu, Mungu tunayemwabudu ni mmoja katika utatu mtakatifu Baba, Mwana naoho...
  8. M

    Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

    Usilazimishe Mungu unayemjua wewe ndiyo aabudiwe, kwa imani zao wamekwenda kumwabudu Mungu wa kweli na amepokea sadaka zao, yeye hujibu kwa muda na nyakati si kama mwanadamu apendavyo,
  9. M

    Itakuwa sahihi CHADEMA kushiriki mazungumzo na Rais Samia huku Mwenyekiti wake akiwa ndani kwa kesi ya kubambikiziwa?

    Kwanza lazima ujue dhamira njema ipo au ni ghiliba. Kumbuka mtu unayetaka kuzungumza naye alitamka anataka kuliponya taifa,kujenga mshikammano na upendo, akakataa watu kubambikiwa kesi. Iweje leo abadili msimamo wake? Lazima kuwa mwangalifu si kwa kuwa mtu kasema?
  10. M

    Si haki Wanasiasa kuingia ibadani wakiwa wamevalia sare za vyama vyao

    Hayo mawazo yako si lazima watu wayafuate maana ibadani watu mioyo yao inakwenda kukutana na muumba wao siyo mavazi
  11. M

    Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

    Political stability inasaidia sana kwenye uwekezaji.Kumbuka 1998 ubalozi wa Marekani Tanzania ulilipuliwa na magaidi wa Osama, mtanzania mmoja Ghailani alikamatwa, sasa unapotaja gaidi na unashindwa kumpeleka mahakamani kwa sababu za kitoto hauna usafiri wa kumpeleka mahakamani ni utoto, dunia...
  12. M

    Mbona Mbowe amesahaulika mapema hivi?

    Wale diplomat jana walikuwa ikulu au wapi?
Back
Top Bottom