Nimehama chuo na koz kutoka st joseph bse kwenda makumira baed na wakati huohuo nilikuwa nimepata mkopo. Je mkopo wangu ntaupata nikiwa chuo nilichohamia?
Nilichaguliwa kupitia nacte kusoma degree na nikathibitishwa na chuo husika,sasa cha kushangaza napo angalia jina langu kupitia tcu results selection naambiwa bado nina provisional selection. Jamani tatizo ni nini? Msaada tafadhali.
Nilikuwa selected na nikathibitishwa na chuo husika lakini chakushangaza toka ijumaa profile yangu imerudi kama mwanzo yaan kuonyesha vyuo vyote nilivyochagua. Je,hapo ni nn tatizo wana jf???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.