Mambo vipi naomba na mm nitambue kama una elimu kidogo hapa kwa mfano mm noma AB+ na mchumba wangu ana O hapa vp kuna weka kukatwa na tatzo la kupata watoto??
Habarini za mchana jamani nilikuwa naombeni ushauri nahitaji kufungua biashara ya duka la vinywaji mtaji nimetenga km sh. mil.2 ambavyo itakuwa ni kwareja reja. nilikuwa nataka kwa anaefanya biashara hyo nijue kiasi cha mtaji na maeneo ambapo unaweza kufanya biashara hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.