Habari za asbh wadau! Naomba mwenye kujua kuhusu taarifa hizi "Inasemekana eti watumishi wote wa serikali na mashirika ya serikali waliofukuzwa kwa utoro, ulevi na sababu zingine waliokuwa wamesaini mkataba wa ajira ya kudumu wanatakiwa kurejea kazini ndani ya wiki moja! Inasemekana agizo hilo...
Jamani wana jamii tusaidien kujua angalau maswali yanakuja vp! maana kuna watu waliitwa kazini mwezi wa tano mwaka huu Afisa Usimamizi Fedha daraja II kama upo kwe jamvi hili tusaidie tafadhali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.