tatizo kubwa hapa wakuu wa shule wanajihita managers/wakurugenzi na si walimu. na wamesahau kuwa wanalipwa mishahara kwa cheo cha ualimu na si utawala. wanashindwa kufundisha na ndio maana wanashindwa kusimamia ufundishaji mashuleni.
na ndio maana elimu inashuka nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.