Recent content by Makusudically

  1. M

    Orodha ya viongozi walioteuliwa na Rais Samia na kuonyesha uwezo mdogo kiutendaji na kiuongozi ni hawa hapa

    Bahati mbaya hujatoa sababu ya kila mmoja alichoshindwa, matokeo yake post yako imekosa mvuto, maana msomaji mwenye akili haoni sababu za wao kushindwa kazi bali inaonekana ni majungu
  2. M

    Simba SC habari imeishia Zanzibar , hii timu Yanga angeipiga goli 5

    Yanga ni timu bora sana haiwezi kulinganishwa na Simba ainayofurahia kucheza nusu fainali ya Shirikisho ambalo Yanga ilicheza Fainali
  3. M

    PreGE2025 Mabalozi watakaohudhuria kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu et al, Wafukuzwe kutoka nchini

    Kutukana matusi mtandaoni kunaweza kukugharimu sana, kwani ni kosa kisheria, lakini pia unajishushia heshima, kwani wewe unaona uingiliaji wa mabalozi katika mambo ya ndani ni sahihi? Au kwavile kesi inamhusu Tundu Lisu tu na Chadema yake?
  4. M

    Kataa CCM = Kataa Ushabiki wa Simba na Yanga

    Ni dhana mufu na haina mashiko, Utawezaje kumwambia mtu akatae hisia kutoka nafsini mwake? Yanga na Simba mapenzi nayo yanajengwa kutoka nafsi mwake. Vyama vya Siasa sawa unaweza kubadili, ssbabu vinaambatana na maslahi ya kifedha . Lakini Yana Simba ni faraja ya nafsi tu.
  5. M

    ATCL yadaiwa Tsh 369 Bilioni wakati ndege zimeegeshwa miaka 7 bila kuruka

    Ni kichekesho, Mfuko wa kushoto wa suruali unaudai mfuko wa kulia wa suruali hiyo hiyo kwa kukaa na hela mwezi mmoja halafu iwe story ya kuwahadithia watu wenye akili? Je tutegemee Taasisi hizo kufikishana Mahakamani? Wandishi kuweni serious bhana🤣
  6. M

    Ni kwanini nguvu na ushawishi wa CCM kwa wananchi na watanzania kwa ujumla huongezeka kadiri siku na miaka inavyosonga kitaifa na kimataifa?

    U Umefanya utafiti upi kuthibitisha hoja yako kwamba nguvu na ushawishi vimeongezeka? Je nguvu na ushawishi ulikuwa kiasi gani na sasa ni kiasi gani? Kwa vipimo vipi?
  7. M

    Hakimu aliyetoa hukumu hii dhidi ya Vijana wa CHADEMA -SIMIYU, kwanini asifutiwe shahada yake ya sheria?

    Tena Hakimu huyo alipaswa apandishwe cheo na kuwa Jaji kabisa, Chadema na manya g'au wakubwa
  8. M

    PreGE2025 CHADEMA kurudia matapishi yake? Safari hii haitakimbilia Mahakamani?

    Kimsingi Chadema ndiyo kwaheri, ndiyo kinaenda kuungana na Nccr mageuzi, Cuf, labda Act inaweza kuchukua nafasi kwa muda. Lakini Chadema ni kwisha habari yao
  9. M

    Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

    Kwanza siyo Na. Feki, ondoa neno hilo, maana feki ni namba isiyotambuliwa na mamlaka husika. Sasa Namba unazoziona za magari hayo hata kama ni kumi zote zimesajiriwa na mamlaka na zinatambuliwa kwamba gari flani ye chesses Namba flani imepewa Na kadhaa kwa kazi Maalumu. Hizo ni Namba maalumu kwa...
  10. M

    PreGE2025 Mdomo huponza kichwa - Tundu Lissu

    Lisu ni shetani kabisa, Watanzania wazalendo hatumpendi kabisa tangu aanze kumchafua Magufuli kwa kumsingizia kwamba alimpiga risasi, sisi kanda ya ziwa tunamuona ni mbwa tu. Hata haya ya kukamatwa ni madogo tunaomba yampate maubwa zaidi ya haya
  11. M

    Dunia imebadilika sasa hivi mtu mwembamba ndio mwenye afya!

    Ushahidi uko wapi kuonesha zamani watu waliamini mtu mwembamba ni mgonjwa? Au umeandika hisia zako na maoni yako binafsi tu?
  12. M

    PreGE2025 Shangwe zarindima Nchi nzima baada ya CHADEMA Kukataa kusaini kinachoitwa 'Kanuni za Maadili ya Uchaguzi'

    Hii taarifa ina mapungufu sana, Watanzania wote wamelipuka kwa shangwe maana yake nini? Ni Watanzania wapi hao? Ushahidi uko wapi wa shangwe hizo za mlipuko? Tusisambaze uongo usiosaidia na unaompunguzia heshima mwandishi mwenyewe kwa kukosa weledi na kuendekeza ushabiki na upofu wa kisiasa...
  13. M

    Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

    Tatizo liko kwako wewe katika kufikiri, ni wapi ulikuta kuna muongozo umeandikwa kwamba Jina hili ni la Jini, mwarabu, mzungu, mchina, giliki, n.k.? Si ni uelewa wako uliokaririshwa na Dunia uliyokulia. Ndiyo maana hakuna sheria inayokataza mtu kujiita kuitwa jina lolote unaloona wewe kuwa...
  14. M

    Sio kila kiongozi anayekufa anakuwa ameuawa, tuache mazoea

    Jpm alikufa kifo tatanishi acha kutudanganya.
  15. M

    Umaarufu wa Mbowe wazidi kupanda. Sasa hivi watu wanamchukulia kama mpigania haki na ukombozi

    Mbowe hana umaarufu wowote ni gaidi tu hatabkjasma kalamba miguu ya pilato na kurudi uraiani kuhatarisha Taifa, atueleze Chacha Wangwe nini kilimtokea??
Back
Top Bottom