Recent content by makusanyo

  1. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli kuzindua ukuta katika migodi ya Tanzanite Mirerani

    Hii ni historia katika udhibiti utoroshaji wa tanzanite
  2. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Kwanini gari za Tahmeed zinapata ajali mara kwa mara?

    Doh sitapanda haya mabas nilikuwa nikisikia sifa zake nzur kumbe hovyo tu
  3. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Ubuyu wa Diamond, Ruge na Kusaga

    Umejikita katika maswali. Leya majibu
  4. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Mungu ametoa funzo kupitia kwa marehemu Kingunge Ngombale-Mwiru

    Wapo watu wametangulia mbele za haki nawafahamu nao baada ya kusoma sana wakamdhihaki Mwenyezi MUNGU kuwa hayupo lakini baada ya kupata mapigo ya ugonjwa siku za mwisho walikiri na kuzikwa katika Imani. Nyinyi wapinga KRISTO na MUNGU humu narudia tena kusema, siku yenu itafika ya kupiga goti na...
  5. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Mungu ametoa funzo kupitia kwa marehemu Kingunge Ngombale-Mwiru

    Huo ukweli wa kuwa MUNGU hayupo uliujuaje, baada ya kusoma vitabu au kusimuliwa na watu.
  6. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Mungu ametoa funzo kupitia kwa marehemu Kingunge Ngombale-Mwiru

    Oh oh MUNGU ni mmoja tu huko kwingine ukishamalizia na mungu ng,ombe huyo si MUNGU ni mmoja wa miungu. nikuulize wewe toka unapata akili ya kujitambua uliamini kuwa MUNGU hayupo au ni baada ya kusoma maandishi fulani.
  7. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Mungu ametoa funzo kupitia kwa marehemu Kingunge Ngombale-Mwiru

    Muda wa kumkiri bado haujafika. Unajichanganya mara hakuna MUNGU mara kuna Mungu wengi
  8. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Mungu ametoa funzo kupitia kwa marehemu Kingunge Ngombale-Mwiru

    Haha watu wasioamini uwepo wa MUNGU wamepata pigo leo wana hasira kweli kweli. Kwake kila goti litapigwa, ikiwemo la ninyi wapinga uwepo wa Mwenyezi Mungu.
  9. makusanyo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

    Vipi mama yako naye alipigwa tuu, anyway na watoto wako wa kike nao watapigwa tuu.
  10. makusanyo

    JamiiForums Tanzania Damu inayoteleza wakati wa hedhi

    Habari za majukumu wakuu, kwa wale wataalam wa afya. Je ni kawaida kwa mwanamke kuwa na damu inayoteleza wakati anapoanza siku zake ( menstruation cyle)? Tafadhali naomba msaada
Back
Top Bottom