Recent content by Makuri Paul Chacha

  1. Makuri Paul Chacha

    Tunauza saruji (cement) ya twiga kwa bei ya kiwandani

    Nahitaji mzigo ndugu. Niko Dar
  2. Makuri Paul Chacha

    GE2020 Amani yetu ikawe kipaumbele kwa kila mmoja

    Leo ni siku muhimu sana kwetu Tanzania. Tunapata fursa nyengine muhimu ya kukubaliana na watawala, tunahitaji nini kwa miaka mitano ijayo. Uchaguzi ni vita ya maneno, sera, hoja na mikakati ya kutafuta ushindi kwa mtu mmoja na kwa vyama pia. Kwa takribani miezi 3 mapambano hayakuwa mepesi toka...
  3. Makuri Paul Chacha

    Uchaguzi UVCCM Taifa, wenye zaidi ya miaka 32, 34 wapitishwa

    Kabla ya kujibu hoja hii ya kipotoshaji, naomba kuweka yafuatayo sawa; -Sihitaji kuficha ID yangu kwani naeleza ukweli ninaoweza kuushuhudia popote. -Ni aibu kwa mtu yeyote anayetamani kuwa kiongozi tena ktk nafasi ya juu kabisa ya kitaifa, kutegemea kashfa, uongo,uzushi,husda, chuki na...
  4. Makuri Paul Chacha

    Bunge kuamua hatima ya tanzania kesho

    Ibara 63(2) na Ibara 4(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977 Bunge limepewa mamlaka ya usimamizi wa masuala yote ya umma kwa niaba ya wananchi (Supervisory Authority). Kwa kuzingatia kuwa bunge ndiyo limeanzisha mchakato wa kuchunguza na kufanya maamuzi dhidi ya kashfa ya...
  5. Makuri Paul Chacha

    Mbunge wa Mwibara aanza kupoteza sifa ya Ubunge

    Kangi ni mbunge pekee wa ccm mwenye sifa ya kurudi 2015, mkoa mzima wa Mara.migogoro ya ardhi iko nchi nzima, ccm imeshindwa kila kitu.
  6. Makuri Paul Chacha

    John Shibuda kuanzisha chama chake cha siasa au kuhamia TADEA

    kwa hiyo SHIBUDA ndiye msemaji wa wasukuma? Eti WASUKUMA TUMEAGA RASMI CHADEMA!!Pole zake na vifaranga vyao.
  7. Makuri Paul Chacha

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    [Hao wazee wamefanya jambo la maana sana. Tunamhitaji sana kamanda Mbowe, aendelee kukiongoza chama hiki. CCM kwa nini wanaumia kwani wamesikia ataiongoza ccm?
  8. Makuri Paul Chacha

    Vijana wa CHADEMA wadaiwa kumpiga mjumbe wa kundi la 201 (la Bunge la Katiba)

    Kapigwa na Walevi wenzake. Hadi kwenye vikao vya pombe ukisema vibaya CDM unakula kichapo..
  9. Makuri Paul Chacha

    Tundu Lissu: Nitawania Urais kupitia CHADEMA 2015

    Kuna mtu mmoja anajiita Sita hadi leo anaamini bila Dr. Slaa Chadema haina wagombea!" Eti Cdm haina haina watu wa kutosha kuunda Serikali" pole zake Sita..
  10. Makuri Paul Chacha

    Umakini unahitajika uchaguzi BAVICHA

    Kwa wenye mapenzi mema na CHADEMA, kwa kuwa baraza hili la vijana lina vijana wengi wenye uwezo, waaminifu na wapenda maendeleo na wamekubali kujiunga na jeshi hili la ukombozi wa pili wa Taifa letu,uchaguzi huu unaondelea ni matumaini yangu kuwa watajitokeza wengi tangu ngazi za chini za...
  11. Makuri Paul Chacha

    John Heche na Ester Matiko kuvunja kanuni za uchaguzi Tarime.

    kila la kheri kwenye uchaguzi wenu Tarime, acheni majungu, mkiona kupigwa.. mnakimbilia jf.
  12. Makuri Paul Chacha

    Tamko la (mewm) kulaani hujuma anazofanyiwa waziri mkuu mstaafu mh Edward Lowasa

    Hili tamko nimelipenda...kwamba wako hata Mawaziri...viongozi wilaya hadi Taifa ila bado mnaonewa...basi nyie wachovu!!!
  13. Makuri Paul Chacha

    Bungeni Dodoma..

    https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=8988730.... Vijana wa ccm wanashindwa kutafakari sawa....wanatetea serikali mbili bila hoja za Msingi...ebu kweli kuna wazalendo ndani ya ccm na wanaujua historia ya nchi hii zaidi ya akina Warioba,Salim, Butiku, Kabudi, Baregu n.k? Let be reasonable!!!
Back
Top Bottom