Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa...
Marehemu Rev. Mtikila alikuwa member wa JF.
Kuna mengi aliyajua na kifo chake bado naamini kilikuwa engineered Kigali.
Sijui authorities za Tanzania intelijensia ikoje.
Kuna maswali mengi kuliko majibu.
Tahadhari tu: Simu atakayoenda nayo Samia akirudi asiitumie tena wala simcard yake...
Tarehe 04 Mei, 2021 ilikua siku ambayo ilipangwa kwa amri ya Mahakama ya tarehe 01 Desemba, 2020 kuwa Mkutano wa kwanza wa kimahakama kuangalia mwenendo wa shauri namba 220 la mwaka 2018 (First Pre- Trial Conference and Scheduling) la Benard Kamilius Membe dhidi ya Cyprian Majura Musiba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.