Jamani wakuu naombeni msaada kwa anae jua namna ya kusitisha masomo me nilikua nasoma clinical medicine chuo cha private ikafika mahali wakawa wanamindi ada yao kulipa nikashindwa kulipa jamani ada kwa sababu mzee aliaga dunia nikaenda kwa msaji akaniambia niandike barua nikaandika then nikampa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.