Recent content by makotineto

  1. M

    Wanaume wanne wakamatwa Kenya kwa kusafirisha Malkia wa Siafu hai. 5,000 wakutwa kwenye mirija

    Vijana wawili wa kibelgiji wamekamatwa wakiwa wanasafiria siafu ambapo siafu hao walikuwa wamehifadhiwa kwenye mabomba ya sindano sasa inawezekana ni biashara lakini biashara gani hio wakati sisi wakulima kila siku zinaingia kwenye nguo zetu na kutushambulia mpaka sehemu za siri hii inaonesha...
  2. M

    Umejifunza digital skill yako, ila hujui jinsi ya kupata pesa kwenye hiyo skill yako?

    Mimi nipo kwenye content creation lakini sijui namna ya kuuza content zangu msaada
  3. M

    Maana ya mnara wa Babeli nchini Tanzania na miaka mitano mingine ya Rais Samia

    Watu wengi mumekuwa mkihusisha maana halisi ya maana ya mnara wa Babeli kama jinsi neno la Mungu linajieleza lenyewe lakini ikitazamia katika upande wa kiroho ukagusia sehemu ndogo tu ya siasa na amani katika nchi hii ya Tanzania utaona kuna ujenzi wa mnara wa Babeli japo si wote ambao...
  4. M

    Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

    Jamani hata jina la malaika wa kike hujui wakati ndo password yenyewe
Back
Top Bottom