Majina yatatoka hivi karibuni na watakaochaguliwa wengi ni waliofaulu masomo ya sayansi, hisabati na english. Tulioomba kusoma dip ya miaka mitatu tujiandae na serikali itatupatia mkopo wale tutakasoma masomo ya sayanai, math na english.
Majina ya waliochaguliwa yatatoka muda c mrefu na tujiandae kuanza masomo majina yakitoka. Subira yavuta heri. Mie nasubiri na hasa kozi mpya ya dip ya miaka mitatu ya masomo ya sayansi, hisabati na English.
Tovuti ya wizara ina matatizo ya kiufundi na yanafanyiwa kazi. Majina ya watakaochaguliwa yatatangazwa kwa umma muda si mrefu kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Tujiandae tulio na sifa hasa tuliofaulu masomo ya sayansi, number na English
Majina ya waliochaguliwa yatatoka muda c mrefu na tujiandae kuanza masomo majina yakitoka. Subira yavuta heri. Mie nasubiri na hasa kozi mpya ya dip ya miaka mitatu ya masomo ya sayansi, hisabati na English.
Huu ni uzembe wa viongozi wa Halmashauri husika na siyo wa viongozi wa kitaifa. Hata hivyo hali hii inaonyesha viongozi wetu wa kitaifa hawana upendeleo wa kufuata maeneo waliyotoka, mnataka wawe kama kina fulani, kila kitu kwanza kwao, tutafika? Viongozi wa Vijiji, kata, tarafa, wilaya hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.