Recent content by makogoto

  1. M

    Ruvuma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Haaaa...haaaa...teh..teh..teh...songea peoplessss....mbunge Fuimeeee!!!
  2. M

    Ruvuma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    naona wananchi wanashangililiaa huku huku sangaaa..sangaaa..sangaaaa...nahisi ni ccm imechukua kata.
  3. M

    Evance Kihwili wa Songea anatafutwa na ndugu zake

    Hivi hata yeye hauoni huu uzi unaomuhusu?
  4. M

    Evance Kihwili wa Songea anatafutwa na ndugu zake

    nimeatach naona hazijafanikiwa ngoja nijaribu tena ila sina uzoefu
  5. M

    Evance Kihwili wa Songea anatafutwa na ndugu zake

    Anaitwa Evans Kihwili anatokea Songea, aliondoka nyumbani kwao tar 12/08/2015 aliaga anakwenda SUA Morogoro kwenda kuactivate data zake ili aweze kujua kama anaweza kuendelea na masomo chuoni hapo. Mara ya mwisho alipiga simu tar 13/08/2015 na kusema amefika salama lakini baada ya hapo simu...
  6. M

    Kazi nimepata, je naweza kujiendeleza na chuo?

    Haina shida ntawacheki!
  7. M

    Kazi nimepata, je naweza kujiendeleza na chuo?

    Naomba kama kuna mtu anakifahamu kimojawapo anijuze.
  8. M

    Kazi nimepata, je naweza kujiendeleza na chuo?

    Ntakitafuta nacho nione kama kinatoa kozi ya aina hiyo
  9. M

    Kazi nimepata, je naweza kujiendeleza na chuo?

    Nashukuru! ntafanyia kazi ushauri wako
  10. M

    Kazi nimepata, je naweza kujiendeleza na chuo?

    Vp siku hizi hakuna course ya foundation au niludie tu mtihani?
Back
Top Bottom