Olaph.uk, hongera kwa hatua ya kimaamuzi uliyofikia. Hali kama hiyo imenikuta hata na me, kama umejiridhisha na hali iliyopo, kufunga ndoa ya kimila, kidini au kiserikali ndio jambo la kiungwana. Sherehe baada ya ndoa (harusi) hizo ni mbwembwe tu. Isitoshe kufanya harusi ni gharama sana.
Kwa hili la wananchi wengi walioonekana kumsindikiza Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu halinipi tafsiri ya kuwa anakubalika na wanamuunga mkono kwa dhati ya mioyo yao na ataibuka mshindi Oktoba, 2015. Ninachokijua ni kuwa jamaa anawashauri wazuri katika kitengo chake cha uhamasishaji, hili...
Kama ni katika Jimbo la Uchaguzi la Sumbawanga Mjini yule mgombea anayeitwa Fortunatus H. Fwema atawasaidia sana wananchi wa Sumbawanga. Nilifanyanaye kazi katika Halmashauri akiwa ni Afisa Utumishi Mwandamizi, ni mtu mpole na mwenye hofu ya Mungu. Anauwezo mkubwa sana kichwani, ni mtu anayejua...
Hebu tulitazame hili vizuri, mtu akishindwa kwenye kura za maoni ndani ya chama chake ndio ang'atuke?. Ling'ekuwa jambo la Afya katika siasa endapo tu mtu atashinda kwenye kura ya maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi au asiwe ameshiriki kwenye mchakato wa kura za maoni kisha ang'atuke. Tafadhali...
Wapendwa, kwa wale wote wapenda maendeleo ambao huumizwa kwa kutokutendewa haki. Naomba kwa kushirikia na Dr. Peter Willbroad Hhando Slaa kushiriki sala hii kwa kuirudia mara tatu. Tunakimbilia, ulinzi wako.............................. Hakika Mungu ajuaye ya sirini atakupa faraja na matumaini...
Hongera sana Mnyika, ila kazi ndio imeanza. Sensor, tatizo sio shule ila umakini unaendelea kupungua kwa baadhi ya wananchi wa Tanzania siku zinavyozidi kusonga mbele.
Hongera sana Liziboni kwa kutujuza, ila ukweli ni kwamba endapo Dr. Willbroad Peter Slaa ataondoka mvuto kwa cdm utapungua. Ee Mwenyenzi Mungu tuepushie hili balaa. Amen!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.