Kusema ukweli mleta mada yupo sahihi kabisa, natoka wilaya ya rombo nadhani huko ndio hali mbaya kabisa hata biashara ndogondogo ni vigumu kufanya kwa sababu hakuna watu, serikali hapa lazima ifanye kitu huu ujinga wa kuzaa kwa mpango hamna tutajikuta siku moja mkoa flan unapoteza origin yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.