Nape na mwenzake shigela wanaropoka ropoka sana,ni watu wasiotafakari kwa umakini kabla ya kutoa matamko..hili liko wazi wakulaumu si chama ni polisi moja kwa moja.Nape jifunze kutumia akili,hicho kiti maalumu unachotafuta huwezi kukipata kwa staili hiyo..
:hat:Hili si la wabunge wa upinzani tu mkuu,ni suala linalotuumiza watanzania wote hasa tunaowafanya kazi za mikataba ya muda mfupi.Tunatakiwa tulipinge kwa pamoja wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.