Recent content by Makavenga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kiwanja kupimwa ramani ya mipango miji ni gharama sana?

    Nilinunua Chini ya serikali ya mtaa Ila maswala ya kukagua ramani ya mipango miji sikufanya kwa sababu nilikuwa siyajui
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kiwanja kupimwa ramani ya mipango miji ni gharama sana?

    Nimeshagharamia kutengeza hati, siwezi kuacha. Kuhusu kibali cha ujenzi tayari ninacho
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kiwanja kupimwa ramani ya mipango miji ni gharama sana?

    Picha ya ramani hii hapa Katika hivyo viwanja changu Mimi kipo hapo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kiwanja kupimwa ramani ya mipango miji ni gharama sana?

    Dah Mimi wametaka bei hiyo. Hata nilipojaribu kumuuliza mtu mwingine pale pale halmashauri bila ya wao kujua Nikaambiwa mill2,yote ni Yale Yale. Kama unajua gharama ya serikali nikadirie haziwezi kuzidi kiasi gani
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kiwanja kupimwa ramani ya mipango miji ni gharama sana?

    Habari za saa hizi, wadau. Nimepata tatizo, nikasema nililete hapa JF kwa wadau ili nipate suluhu. Maana JF ni uwanja mpana, na kwangu mimi imeshanitatulia mambo mengi sana ambayo hata sikuomba ushauri. Mimi nilinunua kiwanja. Kiwanja hicho hakikuwa na hati, lakini tayari kishapimwa. Process...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

    Wallah nimecheka sana
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitu gani hupendi ufanyiwe wakati wa faragha na mwenzi wako

    Hayo maneno unasema hapa ila mkiwa chumban unabong'oka doggystyle akupitisbie ulimi
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe na Rwanda mchezo huu unapendwa!

    Tatizo yananuka hayo maji Mm sipend mwanamke anayetoa maji
  9. M

    JamiiForums Tanzania Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

    Japo ni chai Ila nimedisa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

    Mtu alishasema watoto wake wakiwa mashoga atawasupport,Sasa huyo mange kuna ubaya atashindwa kufanya
  11. M

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Hahahahah ww ni ndugu yangu mm 29/July/1994
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naanza kuwa na mashaka juu ya uwepo wa Mungu

    Hivi ushawah kujiuliza mtu anaua,anadhulumu halaf akakimbilia nchi ya mbali wala asikamatwe,na akaishi maisha ya raha mpaka anakufa.Hv unadhan hakuna malipo dhidi ya matendo yake mabaya aliyoyatenda ? Hao wanaolawiti laiti ungejua adhabu yao iliyoandaliwa Kwa ajili yao ungewaonea huruma. Dini ni...
Back
Top Bottom