We jamaa, kwanza ni liongo liongo sana, unatunga vijihabari vya kitapele tu! Wenzako wanakunywa huko Irani, unaleta vijihabari vya hovyo hovyo! Hivo ukiwa mvaa kobazi no lazima uwe liongo liongo? Mtu yeyeto Hulu jamvini akiziamini taarifa zako anakuwa mjinga kuliko wewe mwenyewe.
Unarekodi...
Kwako Msigwa haikuwa sawa kufia kwenye uenyekiti wa kanda bali kwa Mbowe ni sawa kufia kwenye uenyekiti taifa? Team Mbowe mmevurugwa vibaya sana aisee.
EtiIi?Hufi leo? Siyo kweli, kwa kuchanganyikiwa huko hakiiii utakufa leo 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.