huyu jamaa sometimes huwa anajitoa ufahamu kisa lowasa!do you think lowasa will leapfrog the competition?wengine tumeamua kukaa kimya maana rais wa nchi tumeshamfahamu.
zamani nlikuwa nakupinga sana...ila.baada ya chadema kutuletea hiki kirusi nami nipo upande wa mabadiliko ya kweli siyo haya ya kubambikiwa!magufuli atosha
ukweli ni kuwa watanzania.ni wanafiki...na mashabiki wa ukawa wanajifariji kuwa wanaccm wengi watampigia kura lowasa...huko ni kujifariji n what i see baada ya tarehe 25 chadema itajuta sana na mimi ntawaadhibu kwa upuuzi walioufanya wa kumchukua mtu aliyekubalika ccm kwa sababu ya hela...na...
Sasa km mlikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia mnalalamika nini.....ukawa sasa hv limekuwa genge la.watu fulani kufikia ndoto zao za urais。。。na vichwa maji waliowengi wanafata mkumbo...tunaojielewa tumewaachia ukawa yenu feki
Tangu chadema wamsimamishe lowasa kugombea urais nimekata tamaa kabisa !am fed up n what i will do is just to vote for a right candidate!tunadanganywa kuhusu mfumo...what a piety!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.