Recent content by Makamuzi

  1. M

    Why Lowassa is not Tanzania's Buhari

    well addressed document!lowasa is.a loser n he cant be the president of URT
  2. M

    Face 2 Face With Freeman Mbowe & James Mbatia!, Wamesema Nini Kuhusu Ushindi?

    huyu jamaa sometimes huwa anajitoa ufahamu kisa lowasa!do you think lowasa will leapfrog the competition?wengine tumeamua kukaa kimya maana rais wa nchi tumeshamfahamu.
  3. M

    Uwanja wa Mashujaa Moshi umetapika, Dr. Magufuli kuhutubia

    hili jukwaa limeharibiwa na vitoto vya kata...si tena la great thinkers!
  4. M

    Ni Nini Hatma ya Ndoa ya Gwajima + Lowassa na UKAWA kwa Taifa Letu?

    zamani nlikuwa nakupinga sana...ila.baada ya chadema kutuletea hiki kirusi nami nipo upande wa mabadiliko ya kweli siyo haya ya kubambikiwa!magufuli atosha
  5. M

    Wako wapi wabunge washangiliaji wa Lowassa na wenyeviti watiifu kwake?

    ukweli ni kuwa watanzania.ni wanafiki...na mashabiki wa ukawa wanajifariji kuwa wanaccm wengi watampigia kura lowasa...huko ni kujifariji n what i see baada ya tarehe 25 chadema itajuta sana na mimi ntawaadhibu kwa upuuzi walioufanya wa kumchukua mtu aliyekubalika ccm kwa sababu ya hela...na...
  6. M

    Magufuli ndani ya Jimbo la Karatu

    Sikutegemea kuiunga ccm mkono....ila kwa yaliyotokea ukawa ni bora magufuli ashinde tu kwenye urais
  7. M

    Mgombea ubunge wa CCM Mtwara Mjini amewanunua viongozi wa vyama vingine

    Sasa km mlikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia mnalalamika nini.....ukawa sasa hv limekuwa genge la.watu fulani kufikia ndoto zao za urais。。。na vichwa maji waliowengi wanafata mkumbo...tunaojielewa tumewaachia ukawa yenu feki
  8. M

    Mikutano ya kampeni ya UKAWA TAMBWE HIZA sawa lakini sio sawa

    mmeshikiwa akili na gia ya mabadiliko...mtageuzwa geuzwa sana...!
  9. M

    Kwa CHADEMA asilia tuu...

    Tangu chadema wamsimamishe lowasa kugombea urais nimekata tamaa kabisa !am fed up n what i will do is just to vote for a right candidate!tunadanganywa kuhusu mfumo...what a piety!
  10. M

    VIDEO: Uongozi wa CHADEMA Kilosa (M/kiti, Katibu), wahamia CCM muda huu

    Tangu hao chadema wamweke huyo fisadi lowasa...kura yangu hawataipata ni bora niipeleke kwa magufuli...wameniudhi sana.
  11. M

    Inasikitisha sana: Wananchi wako tayari kuing'oa CCM, Baadhi ya viongozi hawataki

    Dr slaa hawezi kununulika...you are always my hero
  12. M

    Uongo, Upotoshaji dhidi ya Dr.Slaa na Mnyika - Wafuatao wapuuzwe...

    And for really msidhan slaa kuwa hana wafuasi ..subirin muone what gonna happen...it's better to be a non partisan rather than supporting you monsters
  13. M

    Uongo, Upotoshaji dhidi ya Dr.Slaa na Mnyika - Wafuatao wapuuzwe...

    Nyie mmeshatuzingua.....nitamfata dk slaa popote aendapo..haiwezekani mtei na mbowe ndo waongoze chama....nimeanza kuamini maneno ya Zito.....mmeniboa sana....
Back
Top Bottom