Nashauri Serikali kupitia Bunge kuita Bunge la dharula kujadili suala la tembo na Simba kuvamia makazi ya watu.
Hakuna siku nafuatilia habari nikamiss Habari hii. Kanda zetu zimeshindwa, wanyama wamezaliana wengi Sana kwa kipindi cha miaka Saba.
Sasa Serikali itafute suluhusho la kudumu.
BARUA YA WAZI KWA MHE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUHUSU WATANZANIA KUFUNGIWA LOCKDOWN NDANI YA TAIFA LAO KATIKA PORI LA AKIBA LA IKORONGO CHINI YA MWEKEZAJI SINGITA GRUMETI RESERVE
Awali ya yote Mhe Rais tunakupa pole kutokana na majukumu mazito uliyo nayo na hongera sana kwa...
Tanesco kunani na huu mkato wa umeme kila siku,kumekuwa na katizo la umeme siku hizo kila siku,na mnaweza kukata hata Mara Tano kwa siku moja,hasa maeneo ya kigamboni, toangoma,Tunaomba mtujuze tanesco Kuna shida gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa Bashe,
Mbona watesa familia za watanzania wenzako wanyonge,ulipokuwa kiongozi wetu wa New habari (2006) ltd ulilazimisha tupewe barua za kupunguzwa kazi bila idhini yetu na kutuahidi kutulipa fedha zetu za retenchment na malimbikizo ya mishahara yetu kwa wiki mbili.
Ilikuwa mwezi...
Mheshimiwa Bashe,
Mbona watesa familia za watanzania wenzako wanyonge? Ulipokuwa kiongozi wetu wa New Habari (2006) Limited ulilazimisha tupewe barua za kupunguzwa kazi bila idhini yetu na kutuahidi kutulipa fedha zetu za retrenchment na malimbikizo ya mishahara yetu kwa wiki mbili. Ilikuwa...
Asantenkwa kwa mafundisho mazuri,napenda unapotaja miaka ya.kufa hao nitume,,naomba pia nisaidie kujua historia ya kanisa mara baada ya kufa Petro muunganiko uliendeleaje badae mpaka kufikia hapa tulipo kwa upande wa mapapa.
Ndugu Zanguni Tanesco,
Mbona inachukua muda mrefu sana kuunganisha umeme,Tumeomba umeme mnamo tarhe 16/06/2019 na tuliahahidiwa siku 60 mpaka kuja kupata umeme.Leo ni zaidi ya siku sitini hakuna lolote linaloendelea.Ref no ni : 9910311252200 na no ya simu ni 0713549959.
Wadau sijui ni Tanroad ama Tarura,tunaomba mtujuze kunani pale kwa dole,kipande kifupi hakizidi hata mita 130 kinachukua Takribani miezi mitatu kutengenezwa huku barabara imefungwa. Mnatuchepusha kwenye nyumba za watu mpaka kuta zao zinakaribia kudondoka. Hebu liangalieni suala hili.
Bashe hongera kwa nafasi hiyo.nakushauri ulipe kwanza staff wako uliowapunguza kazi bila mafai yao.wanakudai mishahara mingi ungekuwa busara uende kula kiapo ukiwa msafi.
Kiukweli hii Sheria ya utakatishaji pesa imewaumiza wengi,unashangaa watu wenye Sina moja ya makosa.mwinhine anapangiwa wizi wa kuaminika wengine utakatishaji.Tunaomba vyombo husika viipitie kwa kina sgeria hii
Habari Wana jukwaa,Takribani miezi miwili imepita toka kampuni ya new habari ltd ilipowaondoa wafanyakazi wake kwa kuwapunguza kazi (retrenchment). Wakaahidiwa kuwa pesa zao za mishahara ya nyuma na stahiki za kupunguzwa kazi watalipwa ndani ya siku kumi na tano kadri ya barua walizopewa.Sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.