Wapendwa wangu katika Bwana niwakumbushe tu kwamba tupo katika nyakati za mwisho mnoo..
YESU yupo karibu kurudi mda wowote kuanzia sasa kwa iyo wew unaesoma ujumbe huu tengeneza njia zako na maisha yako
Acha ulevi
Acha uzinzi
Acha umalaya na ukahaba
Acha matusi
Acha kila aina ya dhambi na uchafu...
Jina lenyew ushasema hospitali ya taifa
si tunaendaga tu vituo vya afya ni bure tuu kama akijifungua kawaida kama utatozwa hela haizidi
Upo sahihi mkuu
Jina lenyew ushasema hospitali ya taifa
si tunaendaga tu vituo vya afya ni bure tuu kama akijifungua kawaida kama utatozwa hela haizidi afu 50 tena kuwe kumetokea shida wakati wa kujifungua
Kila makanisa yana utaratibu wake huwezi ukafika tu ukasema nifungieni vyombo nikahubiri au nataka mkutano
So nikiwa na vya kwangu mda wowote nikijisikia nachukua vyombo vyangu naenda kupiga gombo na pia kama MUNGU amesema nami labda nikahubiri sehemu fulan sasa unaweza ukakuta huko hamna vyombo...
Sawa mkuu tusamehe kwa kuaibisha mji kwa kuhubiri injili tusamehe sana ila hatuna namna inatubidi tu tuhubiri tuwakumbushe watu kuwa YESU yu karibu kurudi wajiandae
Sipo na katiba apa wala muongozo nipo mbali kidogo na siwez nikakuambia kwa kuhisi au kuanza kukukumbuka ila misingi ya imani ipo ningeweweza kukutajia
Sijaikariri kwa sababu pia ni mingi kidogo
Hapana hii ni kwa ajili ya MUNGU
YESU yupo karibu kurudi na watu wengi hawajamrudia so tupaza sauti kuwaambia wamrudie MUNGU waache uovu wasijisahau so watakaosikia na kubadilika bas watakuwa wamepona ambao wtasikia ila wakakaidi siku ya mwisho wasije wakasema hawakuwahi kuhubiria wala kusikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.