Angeweza vipi nae alikuwa jasusi wa kikatoliki? Yaani Vasco da gama na uzindiki wake alipobombard mji wa kilwa (mji ulikuwa umestaarabika zaidi duniani) hakuweza seuse Mwl julius mtoto wa chifu aliekana uzanaki na kuuvaa ugalatia? Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusoma ujinga?
Hapo ndio utaonekana umuhimu wa kuwepo njia mbadala yenye Road toll, ambayo huko nyuma NSSF kupitia Dau walipeleka mapendekezo serilikali ikakataa, High way huwa kuna speed zake na ni hatari sana wakati mwingine hata anaendesha mwendo wa Pole Pole anakuwa hatarini
Enyi walokole na masufi nawashauri mshirikiane kwenye sherehe za mazazi ya Yesu na Mohammed (Rehema na Amani ziwaendee), masufi wao mwezi huu watatu hufanya sherehe ninyi wagalatia hufanya Xmas mwezi wa 12 nawashauri mngeziunganisha mzifanya kwa pamoja kuondosha chuki baina yenu na kuimarisha...
Mwizi huyu hana elimu, hana watu serilikalini wala si kada wa chama vipi atafufuka aje apenye awe fisadi namba moya kisha ahonge Takukuru, maafisa kwenye idara ya usalama na huko Kwa pilato? We unamuona si rahisi kiasi hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.