Recent content by Makabi Lilepo

  1. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siku za interview Kuna wakati unalazimika Upige abracadabra kadhaa Ili kupumguza ushindani
  2. M

    Kwani Kikwete alikuwa anatumia mbinu gani kuiongoza nchi? Ajira zilikuwa kila mahala

    Aliyeitibua na kukoroga hiii nchi ni Magufuli kwa kuwaaminisha watu kuwa na roho mbaya dhidi ya aliyenacho. Imagine alifuta watu Zaidi ya 13,000 kazi bila replacement. Zaidi ya miaka minne graduates kama 50 elfu hawajaajiriwa.... Magufuli was a country's mess.... Tushukuru Samia alikuta nchi...
  3. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana. Mungu akijalie utumishi mwema
  4. M

    KERO Responded Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Wa Watu wengi hawajui kuutumia mfumo wa Brela vyema. Halafu haya masuala yana utaalam wake shida ya watanzania hatupendi kutumia wataalam tunapenda sana kutotumia wataalam. Mtu kazu ngumu kama kuuza hisa anataka aifanye mwenyewe ikichukua miezi miwili analaum Brela
  5. M

    Wanahitajika madereva wenye Class C

    Kanda ya Ziwa haswa Geita na Mwanza. Ila kama n mtaftaj hata kama n Malawi utaenda a
  6. M

    Wanahitajika madereva wenye Class C

    Nitumie mesej wasap 0769488409
  7. M

    Wanahitajika madereva wenye Class C

    Habari wanahitajika Madreva 5 Kwa ajili ya Mkataba wa mradi wa ujenzi. Madereva wanaohtajika ni walw wenye Class C. Madreva wenye Class E&G Kwa mawasiliano piga 0769488409 au tuma taarfa zako kwa email info@seanmark.co.tz
  8. M

    KERO Responded Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Je Huu mfumo wa mtandao wa BRELA wanatatua lini
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Utapata .. Omba Mungu na taasisi nyingi kwa sasa zinakomba bajeti mwaka wa bajet unaisha
  10. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana Mlioitwa. Waoo hongera
Back
Top Bottom