Aliyeitibua na kukoroga hiii nchi ni Magufuli kwa kuwaaminisha watu kuwa na roho mbaya dhidi ya aliyenacho. Imagine alifuta watu Zaidi ya 13,000 kazi bila replacement. Zaidi ya miaka minne graduates kama 50 elfu hawajaajiriwa.... Magufuli was a country's mess.... Tushukuru Samia alikuta nchi...
Wa
Watu wengi hawajui kuutumia mfumo wa Brela vyema. Halafu haya masuala yana utaalam wake shida ya watanzania hatupendi kutumia wataalam tunapenda sana kutotumia wataalam. Mtu kazu ngumu kama kuuza hisa anataka aifanye mwenyewe ikichukua miezi miwili analaum Brela
Habari wanahitajika Madreva 5 Kwa ajili ya Mkataba wa mradi wa ujenzi.
Madereva wanaohtajika ni walw wenye Class C.
Madreva wenye Class E&G
Kwa mawasiliano piga 0769488409 au tuma taarfa zako kwa email info@seanmark.co.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.