Recent content by MAKA Jr

  1. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania NJIA PEKEE YA KUJITENGA (AU KUWA SAWA) NA WANYONYAJI KUTOKA ULAYA NA MAREKANI NI KUFUATA NYAYO ZA CHINA NA URUSI

    Baada ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) kupigwa marufuku kukanyaga anga la Ulaya, mimi binafsi nimefurahishwa na hoja nzuri za kizalendo zilizotolewa na Watanzania wengi. Wengi wao wanalaani na kulaumu njia za kinyonyaji za Umoja wa Ulaya (EU) pamoja n washirika wake. LAKINI mimi naona...
  2. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Njia pekee ya kujitenga (au kuwa sawa) na Wanyonyaji kutoka Ulaya na Marekani ni kufuata nyayo za China au Urusi

    Baada ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) kupigwa marufuku kukanyaga anga la Ulaya, mimi binafsi nimefurahishwa na hoja nzuri za kizalendo zilizotolewa na Watanzania wengi. Wengi wao wanalaani na kulaumu njia za kinyonyaji za Umoja wa Ulaya (EU) pamoja n washirika wake. LAKINI mimi naona...
  3. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Uko sahihi, lakini ni nchi gani ya Kiafrika inaweza ku-manage hivyo wakati iko kwenye mzozo wa kivita? Kwa kifupi, ni sawa vita haiko sehemu yote, lakini inahitajika udhabiti kufanya ambacho Ukraine inafanya.
  4. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Hakika, hii ni aibu
  5. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Ni kweli kabisa ndugu. Lakini the fact ni kwamba wana vita still wana-manage kufanya hivyo. Ni nchi gani ya Kiafrika inaweza kuwa kwenye mzozo na ku-manage hivyo wakati hata kwenye utulivu bado hatuwezi kufanya hivyo?
  6. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Kila kona ni shida.
  7. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Yeah, kuna Bora Uongozi.
  8. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Magari ya Assad

    Hawa viongozi ni wa ajabu sana.
  9. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Inasikitisha sana. Hatuendi mbele, zaidi tunarudi nyuma.
  10. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Hakika, watu tunatakiwa kufanya kazi.
  11. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭 Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa...
  12. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Kikwete alitamani kutuachia Katiba mpya lakini hakuweza. Ni wakati wa Samia kufanikisha hilo

    Ka Katiba mpya haiwezi kupatikana leo wala kesho. Katiba ya Sasa ni kichaka Chao sahihi kwa ajili ya mambo yao na kujilimbikiza mali ambazo wao na familia zao watakula hadi miaka 200 ijayo. Jambo lingine, Katiba inaendana na utamaduni. Huwezi kukimbilia Katiba ukaacha utamaduni nyuma...
Back
Top Bottom