Recent content by majuto

  1. M

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Kwa hiyo my country house of 372 sqm = 372*500,000 = $166,000,000??? huo ni utani wa hali ya juu
  2. M

    Naweza kujenga nyumba kwa TZS Milioni 20?

    Kama Mililioni 20, inajenga dar basi nimeibiwa nimelipa Millioni 24, (kijijini) kuezeka paa tu. Mabati vigae +misumari+mbao(treated) +usafiri 18,000,000; Fundi 4million+2M dharura!
  3. M

    Msaada tutani, naomba ushauri

    Naona hujaelewa, aliye leta mambo hayo ni mke na ikatokea wakati ndo binti posa inaletwa imekuwa ni kama hajali vile. Jamaa namfahamu hana makando kando, na kwa watu wengine wanafikiria kuwa huyo jamaa ndo kamwambia mkewe ili huyo binti asiolewe unaelewa hiyo somo.
  4. M

    Msaada tutani, naomba ushauri

    Alafu kamwambia mumewe achague kati yake au yule na ataki huyo binti akanyage kwao wakati ni familia marafiki kweli, kamwambia mumewe ikiwezekana ampr talaka kama hawezi kuacha kuongea na huyo binti, ni vichekesho lakini kumbuka hii ni ndoa!
  5. M

    Msaada tutani, naomba ushauri

    Sawa ndo alivyosimama lakini kumbukuka mwanadada katangaza Kanisani tayari kuwa mumewe anatembea na huyo binti. Sasa hiyo jamaa inamfanay jamaa anataka kuhama kanisa, kampigia simu ninti yule kamwambia usiongee na mumewangu. Je kufanya hivyo si kumdharau mumewe na kumwaibisha pasipo kuwa na...
  6. M

    Msaada tutani, naomba ushauri

    Jamani nina swali, mke wa rafiki yangu kapata simu imepigwa kwenye simu ya mumewe na na text message kutoka kwa family friend. Katika family friend huyo kuna binti naye alitumia address ya kwenda kwao, kwani walihama hapo walipokuwa wanaishi sinza hapo awali. Mke kaona hivyo bwana ehe kaenda...
  7. M

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Garama ya Milioni 500, tuangalie living standard ya mtanzania, income then mention hiyo bei; Watanzania Wezi kabisa, Nenda Nairobi angalia majumba yaliyojengwa, then waulize construction cost, almost 1/4 ya bei ya Tanzania; Pili Nyumba ya milioni 500 ni approx.= $340,000.00 Ingia kwenye Internet...
  8. M

    Ni jimbo gani nchini marekani linakaliwa na watanzania wengi?

    Hakuna namba kamili, ila Mid-West wako wengi, i kifuatiwa na Central US, na mwisho eastern. Si wote wabebao mabox, ingawa ni quick job ya kupatia subway na motel room. Zingatia kama umeingia nchi ya ugenini bila pesa, huna elimu na usomi, huna vibali vya kazi unaishi kininja, then huna option...
  9. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Mtoto yupo, kazi hafanyi kwa sasa ingawa ataanza Feb. Ilikuwa si rahisi kujua kama anayo uchafu kwani kuna watu kwenye nyumba, nani kasafisha hujui? Haya akija kwako kajiandaa, atajitahidi kila kitu aweke sawa, sasa yuko mwenyewe, lo! tatizo - usafi! Mie msafi sana
  10. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Samahani kuwachosha ila nilitaka niwape watu undani wa kitu chenyewe,sija soma habari hii mahala. Mzigo wangu nachekecha kutua mzigo au lah! haya ni ya kwangu tu
  11. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Hii kweli nilijaribu kumpa kila alichotaka naziada wakati fulani nikiwa na maana nzuri ya ubinadamu
  12. M

    "Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

    Dada unayo fursa kwamba umeweza kumjua mwenzako kabla kula kiapo kanisani, hivyo ruksa unayo (ruksa please), mbona wachelewa. Ngoja ngoja si nzuri; alafu hukutueleza kuwa wewe unajishughulisha na nini kwani kila kitu unalipiwa na mangi, we mshahara au profit ya biashara yako inakwenda wapi? Weka...
  13. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Hakuna chumvi hiyo ndo summary kidogo tu ... mengine sisemi!
  14. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Nipo, napata ushauri hapa
  15. M

    Je nimpe talaka au nifanyaje

    Nitajaribu ushauri huu nione kama kuna mabdailiko hapo baadaye
Back
Top Bottom