Naona hujaelewa, aliye leta mambo hayo ni mke na ikatokea wakati ndo binti posa inaletwa imekuwa ni kama hajali vile. Jamaa namfahamu hana makando kando, na kwa watu wengine wanafikiria kuwa huyo jamaa ndo kamwambia mkewe ili huyo binti asiolewe unaelewa hiyo somo.
Alafu kamwambia mumewe achague kati yake au yule na ataki huyo binti akanyage kwao wakati ni familia marafiki kweli, kamwambia mumewe ikiwezekana ampr talaka kama hawezi kuacha kuongea na huyo binti, ni vichekesho lakini kumbuka hii ni ndoa!
Sawa ndo alivyosimama lakini kumbukuka mwanadada katangaza Kanisani tayari kuwa mumewe anatembea na huyo binti. Sasa hiyo jamaa inamfanay jamaa anataka kuhama kanisa, kampigia simu ninti yule kamwambia usiongee na mumewangu. Je kufanya hivyo si kumdharau mumewe na kumwaibisha pasipo kuwa na...
Jamani nina swali, mke wa rafiki yangu kapata simu imepigwa kwenye simu ya mumewe na na text message kutoka kwa family friend.
Katika family friend huyo kuna binti naye alitumia address ya kwenda kwao, kwani walihama hapo walipokuwa wanaishi sinza hapo awali. Mke kaona hivyo bwana ehe kaenda...
Garama ya Milioni 500, tuangalie living standard ya mtanzania, income then mention hiyo bei; Watanzania Wezi kabisa, Nenda Nairobi angalia majumba yaliyojengwa, then waulize construction cost, almost 1/4 ya bei ya Tanzania; Pili Nyumba ya milioni 500 ni approx.= $340,000.00 Ingia kwenye Internet...
Hakuna namba kamili, ila Mid-West wako wengi, i kifuatiwa na Central US, na mwisho eastern. Si wote wabebao mabox, ingawa ni quick job ya kupatia subway na motel room. Zingatia kama umeingia nchi ya ugenini bila pesa, huna elimu na usomi, huna vibali vya kazi unaishi kininja, then huna option...
Mtoto yupo, kazi hafanyi kwa sasa ingawa ataanza Feb. Ilikuwa si rahisi kujua kama anayo uchafu kwani kuna watu kwenye nyumba, nani kasafisha hujui? Haya akija kwako kajiandaa, atajitahidi kila kitu aweke sawa, sasa yuko mwenyewe, lo! tatizo - usafi! Mie msafi sana
Samahani kuwachosha ila nilitaka niwape watu undani wa kitu chenyewe,sija soma habari hii mahala. Mzigo wangu nachekecha kutua mzigo au lah! haya ni ya kwangu tu
Dada unayo fursa kwamba umeweza kumjua mwenzako kabla kula kiapo kanisani, hivyo ruksa unayo (ruksa please), mbona wachelewa. Ngoja ngoja si nzuri; alafu hukutueleza kuwa wewe unajishughulisha na nini kwani kila kitu unalipiwa na mangi, we mshahara au profit ya biashara yako inakwenda wapi? Weka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.