Kiwanja kina ukubwa wa robo heka ni tambalale, kipo umbali wa mita 70 Kutoka morogoro road, kipo katika barabara kubwa ya mtaa, kwa maelezo zaidi piga namba 0717 000 990
Nakupongeza sana rais Magufuli kwa jitihada zako za wazi za kudhibiti matumizi ya hovyo ya fedha za serikali, mfano mzuri kuokoa mabilioni ya shilingi zilizopangwa kufujwa katika maazimisho ya uhuru, naomba sasa ukomeshe mbio za mwenge.
HAMY-D
Kitila Mkumbo hajui Zitto ni mtu wa aina gani, yeye anachofanya Zitto Kitila hana nafasi ya kukosoa wala kupinga, Zitto hana tofauti na Mrema yaani ubunge wake hautakuwepo kama hakujipendekeza kwa ccm, ukitaka kujua Zitto sio mpinzani rejea katika mkakati wake wa kuhakikisha David...
Salaaaam ndugu zangu wa Mtongani,
Naandika haya ili kuwatoa wasiwasi kwakuwa nimepokea simu nyingi na pia nilikutana na watu wengi, Watu hao huwa wananiuliza kama kweli nimejitoa katika kinyang'anyilo cha Kugombea Udiwani katika Kata ya Mtongani?
Najibu kuwa hakuna kitu kama hicho mimi...
Itv haijanunuliwa bali ni mbinu za kibiashara ili kuwabakiza watazamaji waweze kuangalia taarifa ya habari mpaka mwisho, kwakuwa
Ukawa na Lowasa ndio habari ya mjini, kama taarifa ya ukawa ikianza kusomwa baada ya kumalizika watui wote hutimka
Ukisika uvccm ina maana ya uzawa wa vigogo wa ccm, hala hawa makalio wanaota ndoto za mchana kweli, yaani mlishindwa kumnyoosha alipokuwa ccm mtaweza kumnyoosha akiwa ukawa?
Hapo sasa naamini habari za siku za nyuma ambazo ziliripot kuwa katika uchaguzi mkuu wa 2010 Lipumba alipita misikitini kumfanyia kampeni Kikwete na kuusaliti upinzani, sasa ameamua kujiweka wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.