Wanajukwaa wa JF mimi nimeamua kuleta uzi huu ili kujifunza hatima ya mfumo wa limu yetu ya Tanzania ambayo msingi wake wa awali ulikuwa elimu ya kujitegemea ambayo ilipaswa kutolewa kwa vitendo.
Ni ukweli wenye machungu ndani yake wenye maumivu kuona maadhimio yaliwekwa katika makaraburasha...
mimi nikijana mwenye umri wa miaka 26 nko katika chuo kikuu cha SUA hapa morogoro nasoma BSc. with education geography and biology. Niko mwaka wa tatu natarajia kumaliza mwaka huu shahada yangu ya kwanza.
NI matumaini yangu kutafta nafasi ya kufundisha katika shule za private. Ningependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.