Recent content by majikupwa

  1. majikupwa

    CCM yaanza kusambaratika Mbeya

    Waje tu kusaaidiaa wananchi kuikomboa tanganyika yao
  2. majikupwa

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Lazima waombe pooo hawa ccm
  3. majikupwa

    Natangaza KUJITOA Chama cha Walimu Tanzania (CWT)

    hafu hawa jamaa wa cwt ni wanafiki sana wanapoona likizo imekaribia ndo wanaazisha migomo yao kama kweli mnania ya kusikilizwa malalamiko yenu kwanini migomo hiyo msifanye wakati wa mitihani ya taifa ila msijali 2015 mtatoka tu pamoja na ccm lenu hilo
  4. majikupwa

    Natangaza KUJITOA Chama cha Walimu Tanzania (CWT)

    wana jf ndugu zangu mada hapo juu yajitosheleza hv cwt ina msaada gani ikiwa mpaka leo walimu wanalilia madeni yao ya miaka mingi walimu hawapandi madaraja kwa wakati mfano kuna walimu wameanza kazi mwaka 2010 unakuta halmashauri nyingine wamepanda madaraja halmashauri nyingne hazijapanda...
  5. majikupwa

    Walimu Kondoa, Kongwa na Bahi waitisha maandamano kushinikiza kupandishwa madaraja

    Kwa habari zinazoendelea kwa sasa baadhi ya walimu wa wilaya za Kondoa,Kongwa Bahi na Dodoma manispaa wataitisha maandamano ya kuishinikiza serikali kutaka kujua hatima yao ya kupandishwa madaraja kwani wanaona serikali ipo kimya ingawa wilaya ya Mpwapwa wameshapandishwa madaraja tayari. Walimu...
  6. majikupwa

    Kwako waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda

    Kwanza kabsa nachukua fursa hii kukusalimu, Mh pole sana kwa majukumu makubwa ulionayo ya kulijenga taifa hili ambalo lina rasilimali nyingi lakini tumeshindwa kuzitumia ili kulinasua taifa letu katika umasikini. Pia mh nakupa pole kwa jinsi UKAWA wanavyokuumiza kichwa chako ila najua wewe...
  7. majikupwa

    KINANA: CCM ina mapungufu, Watendaji wa serikali wabadhirifu wanahamishwa

    ni kweli serikali sikivu imesikia madai ya madaktari ikajibu warudi kazini mara1 zaid ya hapo watakua wamejifukuza kazi ikasikia madai ya walimu ikajibu haina hela ya kuwalipa walimu ikasikia tena mgomo tazara ikajibu warudi kazini na wakatwe mshahara kwa kuisababishia serikali deni ikasikia...
  8. majikupwa

    Kinana aivuruga Lumumba

    kinena
  9. majikupwa

    Kikwete: UKAWA wameenda likizo natumaini watarejea baada ya likizo

    mwehu? Teh teh teh teh wazenji wana hasira nae lazma wamtoe bk mwaka huu
  10. majikupwa

    Joshua Nassari (CHADEMA), Yako wapi maendeleo uliyowaahidi watu wa Arumeru?

    kwa jinsi digital ilivyoimalika huku tunapokwenda ktk nch hii kutakua na madanguro ya wanaume wakijiuza kwa wanawake na wanawake watatoa pesa nyingi kuwanunua wanaume au unaonaje mtoa mada naomba tulijadili hili kwakua mtoa mada umetumwa na magamba inamaana hujaona visima vyote vilivyochimbwa...
  11. majikupwa

    CWT na Jukwaa la Walimu kuitisha maandamano kumpinga Lissu juu Mwl. Nyerere

    walimu tutakuwa tumevurugwa sasa hapa inahusiana nini cwt na kauli ya tungu lisu kama mukoba ndo ameandaa mpango huu ataandamana na mke wake na mwalimu atakae fanya hichi kitendo alaaniwe aishi kwenye nyumba ya nyasi maisha yake yote yaani wameshindwa kuandamana kwa ajili ya nyongeza 100% ya...
  12. majikupwa

    Siri ya Kalenga CHADEMA yafichuka

    hilo nalo neno
  13. majikupwa

    Mtanzania na Wanaigeria wakamatwa na dawa za kulevya Mlimani City Shopping Mall

    umasikini mkuu siunajua ccm wametufanya vibaya sasa sisi raia wa kawaida tunafanya lolote ili tuweze kuish ingawa kuna mkono wa ccm ndani ya hili tukio ndo maana tunaambiwa uchunguz ukamilike hata kama watu wamekubali makosa
Back
Top Bottom