Recent content by Majigoro

  1. Majigoro

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Alivyosema atatungua makombora na kushambulia yalikotoka alikuwa bado hajajua kuwa yy ni mwenyeji wa World Cup?... Anyway ni wewe unadhani
  2. Majigoro

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Kwani viwandani hakuna wafanyakazi?, au wafanyakazi sio watu?
  3. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Nilichoongea sijui kama umenielewa, hivyo viwanda vingi vilivyoko China, nani wamiliki? Viwanda karibu vyote vya computer kutoka China kama HP, Dell, IBM, Apple ni brand za kimarekani zinazofanyia uzalishaji China. Kwa taarifa yako wamarekani ndio wanaoongoza kwa uwekezaji China kupita nchi...
  4. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Trump alipoingia alisema anataka viwanda vyote vya Wa Marekani virudi ndani ya ardhi ya Marekani. Walioanza kupata wasiwasi ni China, kwa sababu asilimia kubwa ya viwanda vinavyoingiza pesa nyingi china ni viwanda vya kimarekani mfano, kampuni ya Apple inafanya designing na preliminary...
  5. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Angalia imepita miaka mingapi mpaka kufikia leo hii kuwa na google, youtube, hizi instagram, whatsapp na facebook... Mpaka waibuke hao uliowaita wengine... Itachukua muda gani? Dunia ya leo tulipofika ni pa "mwenye nguvu mpishe", mpaka ukipata nguvu na wewe wanyonge watakupisha, kinyume cha...
  6. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Baraza la usalama la Umoja wa mataifa enzi za Ban Ki Moon walipiga kura ya hapana kukataa vita vya Iraq lkn George Bush Jr aliamua kumpiga Sadam na akapigika. UN ina meno kwa nchi zetu zinazoendelea lkn sio kwa nchi kama USA. Kama huamini subiri uone kama kura yiliyopigwa UN juzi itabadili...
  7. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Mataifa yanayokataa ubabe yako mangapi? Robo tatu ya hayo mataifa yanayokataa yanaitegemea USA kwa misaada mbalimbali. Na kwenye hilo ni kuwa mengi yaliyopiga kura ya hapana ni kukataa tamko la USA kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel tu.
  8. Majigoro

    President Trump Cuts Funding To U.N. After Israel Vote

    Umwekee vikwazo anaekulisha? Sio hapa duniani
  9. Majigoro

    Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

    Vodacom ni private company, ilitoa tenda kwa kampuni iliyokidhi vigezo vya tenda walivyojiwekea wenyewe Vodacom.
  10. Majigoro

    Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

    Airtel kihalali ni mali ya umma kwa sababu imezaliwa kutoka TTCL, vodacom ni kampuni binafsi hata wewe kama una pesa unaweza kununua hisa zako nyingi ukaimiliki.
  11. Majigoro

    Kitendo cha Rais Magufuli kutoshiriki katika kuwaaga Makamanda 14 wa JWTZ waliouawa DRC...

    Kuna mgawanyo wa majukumu unatakiwa utambue hilo. Kama haya ya misiba kwa kuwa hayana pongezi acha yafanywe na wawakilishi(waziri mkuu, makamu wa rais, wakuu wa mikoa nk. ) lakini yale ya 'tunampongeza' sana mh rais, hasa ya uzinduzi lazima yafanywe na mh rais kwa moyo mmoja.
  12. Majigoro

    Nimeshangazwa kumuona Mrema kwenye mkutano wa CCM Dodoma

    Ndani ya hii miaka miwili umewahi kuisikia TLP ikitajwa mahali? TLP ni ya Mrema na Mrema ni rafiki wa CCM. Na usisahau pia aliomba rais asimsahau ampe kazi akapewa, kwa nini asionekane kwenye mkutano wa CCM?.... Labda cha kujiuliza bado TLP ina wanachama? Wanachama wanaamini nini, TLP kama...
  13. Majigoro

    Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

    Kumjua mzuri ni mpaka uone mbaya , yukoje, utamtambua mrefu baada ya kuona mfupi... Sifa nzuri au mbaya ni mpaka uone mbadala wake.... wamelinganisha A na B, wakagundua ni afadhali ya jana kuliko leo.
  14. Majigoro

    GSM Kuhamishia Malori yake Zambia hii inaashiria nini?

    Kwani GSM asili yake ni Tanzania? Haiwezekani ikawa labda wana matawi ya biashara zao Zambia kama ilivyo hapa TZ? Na kwanini hukufiri kuwa labda hayo magari ni ya Zambia huku yalileta mzigo sasa yanarejea Zambia?....
  15. Majigoro

    Accounts jobs zinakuwa replaced na technology kila siku, wahasibu tumejiandaaje? Next 10 yrs hatutahitajika tena

    Hata kazi zako zikiwa automated kiasi gani, bado nafasi ya binadamu iko pale pale. Tayari zipo accounting packages kibao zenye uwezo wa kufanya mengi ikiwemo hayo ya kuandaa hizo financial statements, na mengineyo, lakini uangalizi wa binadamu lazima uwepo. Systems zita automate na record...
Back
Top Bottom