Ni jambo la kheli kufuatilia upya mchakato wa katiba mpya ili kuendana na dunia ya sasa katika kutenda haki, mfano mzuri ni wenzetu wakenya matokeo yao kupingwa mahakamani
Ni kutokana na kiwanda cha Serengeti dar kufanyiwa ukarabati mkubwa na kupelekea watu wa kanda ya mashariki kutegemea bia kutoka kiwanda cha mwanza ambacho sasa kinahudumia kanda ya ziwa na kanda ya mashariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.