Katika pita pita yangu hapa jiji la Arusha leo nimekuta Kampuni moja ya utalii imeajiri vijana wawili wa kichina wakufungua geti na kurekodi Kilometer za magari pindi yanapotoka na kuingia na pia kukagua watu wanaotoka na kuingia aidha kwa miguu au kwa magari.Hivi Tanzania tumekosa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.