Daaah...!!Unajua kusoma vizuri kweli...?Embu angalia maneno later known as CAF Champions league ili ujue ufahamu wako upo vipi.!!Nakumbuka maneno ya Manara kuhusu mashabiki Wa Dar Young Africans(Sio Yanga kama ambavyo wajinga wanavyoita)Wengi wao ni Hamnazo..!!
Vipi kuhusu utopolo..? Maana hata nao walikuwa wanalia kwamba Nabi atimuliwe baada ya kufungwa na Al Hilal..!! Na kusema kwamba Hana mbinu au hili majuha wa Utopolo mnajisahaulisha..?
Ni kweli unaweza kuwa upo sahihi lakini ukumbuke kuwa hata Manara aliwahi kusema kwamba wenye akili Yanga ni Mzee Kikwete na Baba Yake wengine hamnazo..!!Hii kauli nilidhani ni masihara lakini nilithibitisha ni kweli pale alipoletwa yule mchuuzi kutoka Bujumbura aliekuwa akifanya biashara na...
Ni kweli Vipers ni wabovu na ndo maana wakamtoa TP Mazembe ambayo ndo mbovu zaidi..!!Ramli yako umeipiga vizuri Sana ila kumbuka mpira sio kama kufunga vifungo vya shati kama unavyodhania wewe..!!Huyo Horoya alifanya nini Uganda wakati anacheza na Vipers.? Je alishinda.? Na kama hakushinda iwe...
Mbwembwe ni kawaida kwenye siasa za Bongo..!!Ndo maana Kuna wapumbavu waliaminishwa kwenye uchaguzi uliopita kwamba Arusha itakuwa kama California na wakapiga makofi na kushangilia..!!
Hahaha.. Ni heri ya kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu..!!Maana wapumbavu huamini kila jambo lakini wajinga kuna wakati ujinga huondoka na kupata maarifa..!!
Ni kweli huenda alikuwa sahihi..!!Lakini kusema kwamba ni aibu ya mwaka huenda huo ndo umbumbu zaidi au kuwa mvivu wa kufikiri..!!Maana hata Liverpool alifungwa 5 na haikuwa aibu ya mwaka..!!
Ni ngumu Sana kuwaelimisha wapumbavu..!!Kwani wapumbavu huamini kila jambo lakini mwerevu huangalia palipo na ufahamu..!Na wajinga huchukua muda kuwaelimisha.!!Ujinga ni mzigo..!!Kwa kuwa kuandika ni haki yako upo sahihi..!!Lakini unaweza usiwe sahihi kwenye uhalisia.!!Ni mawazo yako tu...
Inawezekana ukawa upo Sawa kwa kuandika lakini usiwe sahihi kwa maana halisi ya Uungu Mtu..!!Hivi pasi iliyozaa goli kabla ya kumfikia Sakho ilitoka kwa Onyango au Nani.? Maana mi sijaangalia mpira..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.