Recent content by Maje4

  1. M

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Nakushukuru sna ngoja nifanyie kazi ushauri wko hii mainfold pressure sensor nile oxygen sensor au?
  2. M

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Ni wazo zuri, nishauri nifanye nn kusolve au hili tatizo linaweza kuonekana kwa njia ya diagnostic?
  3. M

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Mark ii gx 110, inakuwa na misi mara kwa mara ajabu ukifungua terminal ya betri kwa dak1 alafu ukarudisha hakuna miss ila ukitembea umbali kama 50km tena miss, nimejaribu kubadirsha coil, plug, oxygen sensor control box lakini bado kwenye mashine inaonyesha too rich and too leni
  4. M

    Toyota mark ii grand gx 11o tatatizo la kuwa na mis mara kwa mara ukitembea kama 40 tu halafu ukichomoa terminal ya betri kwa dak 1 ukirudisha hakuna

    Wandugu, nimekutana na changamoto hiyo kwenye gari langu kwa mda wa zaidi ya miezi 4 sasa nimejaribu kuonana na mafundi tofauti dhidi ya watano kla mmoja alifanya alichozani ni tatzo, nimebadili coil, o² sensor , control box ,cylinder head, plug, pump bila mafanikio ila ikiwa na miss ukifungua...
Back
Top Bottom