Jamani, watu mkikosa mada za kupost, muwe mnakaa kinya, Mtu unakaa unajikuta unakurupuka kuropoka. hIVI WE NI MWALIM AU UMEAMUA TU ULOPOKE Ee! Au umeambiwa ukimsifia raisi kwa ujinga wako utapata promotion? Hapo umekwama kaka.
Pole sana kwa kuwa na ufinyu wa mawazo kiasi hicho, unahitaji kukombolewa kimawazo, hapo ndipo uwezo wako wa kufikili ulipoishia. Hata maana ya uhuru hujui.
Kwa ushabiki huo usio na maana watanzania tunapoteza mwelekeo. Sikutarajia mtu mwenye busara kuzungumzia intelligence aliyonayo Dr slaa na badala yake watanzania tungeungana kulaani ugaidi huo. Watanzania tuache kushabikia ujinga, huo utatugharimu wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.