Haya yote sijayasoma.
Nilichosoma ni kuona mtu mzima mmoja anamzuia mtu mzima mwingine asiende kwa baba yake na mama yake.......
Ila amepanga kwenda nae kwa wazazi wake.....
Haya tuendelee...
Inabidi mafundi muweke mnapopatikana.
Niliogopa kuchukua mwaka jana nikihofia wapi nitapata fundi. Nikawaza pa kupata betri ikabidi niwe mpole. Nika8shia kumshukia fundi wangu(anisamehe tu bure) kwamba dunia inabadilika badala ajifunze teknolojia.mpya atengeneze na hybrid kang'ang'ania atomatik...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.