Utamwambia nini mtanzania wa kawaida na soda? Akija nyumbani kama mgeni wako mpe soda, ukimwalika kwenye sherehe mpe soda, mkitembea mtaani simama dukani mpe soda. Hapo utapendwa na kutangazwa kwa jamii kwamba una roho nzuri
Msimpambanishe Mungu na uchawi. Wachawi walishindwa tangu enzi za farao na musa. Manina kuna mchawi mmoja alijinasibu kwamba ana nguvu kuliko nguvu za Mungu Roho wa Bwana alinishukia nikamgaragaza kwa maombi na kukemea na kunena kwa lugha, hadi leo mtu yule hayuko sawa. Wacha Mungu aitwe Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.