Recent content by Maikoel

  1. M

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Wahuni wapigwe tu, tena nasema wapigwe tu! Hili ni pigo maridhawa kwao.
  2. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Halafu tattoo yenyewe iwe na picha ya pdiddy
  3. M

    Xi, Putin, na Kim wakiingia kwenye uwanja wa gwaride la kijeshi mjini Beijing

    Aweke na hizo za mazoezi ya kijeshi au gwaride
  4. M

    Huu nao ni URAIBU mbaya sana Kuna watu wakiona hii kitu karoho kanadundadunda...

    Utamwambia nini mtanzania wa kawaida na soda? Akija nyumbani kama mgeni wako mpe soda, ukimwalika kwenye sherehe mpe soda, mkitembea mtaani simama dukani mpe soda. Hapo utapendwa na kutangazwa kwa jamii kwamba una roho nzuri
  5. M

    Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Tena Ile inaitwa CHANG'AA ya Kenya inayoua hadi macho
  6. M

    Mashindano ya wazi ya Washika Dini na Wachawi. Mshindi kundoka na laki 5

    Ukiendelea kumchezea Mungu nitaanza na wewe hapo ulipo. Nikiomba tu hapa huko wewe unachanganyikiwa. Mungu ana nguvu sana hakika.
  7. M

    Mashindano ya wazi ya Washika Dini na Wachawi. Mshindi kundoka na laki 5

    Msimpambanishe Mungu na uchawi. Wachawi walishindwa tangu enzi za farao na musa. Manina kuna mchawi mmoja alijinasibu kwamba ana nguvu kuliko nguvu za Mungu Roho wa Bwana alinishukia nikamgaragaza kwa maombi na kukemea na kunena kwa lugha, hadi leo mtu yule hayuko sawa. Wacha Mungu aitwe Mungu.
Back
Top Bottom