Recent content by Mahmoudyy

  1. M

    Kibamia au dushelelee, Ukweli ni upi?

    Daaaaah mkuuu umenchekesha saaaana,ni kweli hvy vtu vipo kabiiisa wala si ajabu,hawa wadada wameweka pesa mbele,ukiwa na dushe pesa huna utasikia anakutangazia yule ana kibamia,ukiwa na kibamia mkwanja unao utasikia namchuna tu yule kwanza mtu mwenyewe ana kibamia,real hawa wadada mwalimu wao...
  2. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    Watakuja tu mkuu tulia
  3. M

    Ninawezaje kupata "Screen shot" kwenye iPhone 5S

    We isupilo mfungwa nn maana navyojua hilo gereza la isupilo lipo Mafinga pale Luganga kwa mbeeeeeele kule sasa nna mashaka na ww
  4. M

    Smartphones za IPhone Ni bora zaidi?

    Hapo sawa mkuu hata mm ninayo yangu iPhone 4s yaan ni burudani tupu nafanya nachotaka,ol n ol iPhone ziko poa siji kubadilisha simu zaidi Ya iPhone ni mwendelezo tu 5,5s na kuendelea bt sijashawishika kuacha kutumia iPhone
  5. M

    Naombeni msaada

    Sasa si ushajaribu umeona au unataka Jibu gani zaidi
  6. M

    Msaada kwenye iPhone 4s

    jana nime I update lakini niki play Music haitoi sauti cjajua tatzo lake n nn,naomba msaada plz wanajukwaa Asanteni
  7. M

    Natafuta mchumba(mwanamke)

    Habari zenu waungwana humu, Mimi ni kijana ninayejitokeza kutafuta mchumba hapa, sifa zangu: Muislam. Mrefu kias.i Umri wng 22. Nimeajiriwa serikalini. Sivuti sigara wala situmii pombe. Mchumba ninae muhitaji awe na sifa zifuatazo: Awe muislam. Mrefu na mnene kidogo. Asiwe anakunywa pombe...
Back
Top Bottom