Daaaaah mkuuu umenchekesha saaaana,ni kweli hvy vtu vipo kabiiisa wala si ajabu,hawa wadada wameweka pesa mbele,ukiwa na dushe pesa huna utasikia anakutangazia yule ana kibamia,ukiwa na kibamia mkwanja unao utasikia namchuna tu yule kwanza mtu mwenyewe ana kibamia,real hawa wadada mwalimu wao...
Hapo sawa mkuu hata mm ninayo yangu iPhone 4s yaan ni burudani tupu nafanya nachotaka,ol n ol iPhone ziko poa siji kubadilisha simu zaidi Ya iPhone ni mwendelezo tu 5,5s na kuendelea bt sijashawishika kuacha kutumia iPhone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.