Huo wa Inga hutokana na mlenda WA asili AMBAO huitwa MBATA Unaoatikana Kwa wingi DODOMA kati.ni mzuri na mtamu pia unavirutubisho vingi kuliko wa bamian na maboga
Chukua karafuu kijiko 1 cha chakula. Chemsha kwa maji lita 1 kisha unakunywa kikombe kama cha kahawa 1 Kila SIKU kwa SIKU 7. Au mils 20 yaani vile vipimio vya dawa ya Maji ( Syrup) Viwili kutwa mara 1
Katafute kitu inaitwa "AJWAIN" kwenye maduka ya viungo vya chakula au dawa za asili.
loweka kijiko 1 cha chakula kwa glass 3 za MAJI.kwa muda WA saa 24. Kisha anywe glass 1 zile mdogo saa 12 asb na saa 12 jioni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.