TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo...
Magufuli amewapiga marufuku Makatibu Wakuu wa Serikali kusafriri nje ya nchi akiwataka wakae wafanye kazi na hasa kuokoa fedha kiasi kikubwa kinatumika ktk sfari za nje. Vile vile ameelekeza mabalozi walioko nje waiwakilishe serikali lakini kama kuna ulazima itabidi kibali kitolewe na Katibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.