Habari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.