Kwa taarifa yako mwenye lori anatakiwa kushusha au kulipia pale atakapozidi baada ya 5% kuongezwa na sheria ndio inavyosema hivyo. Magufuli hataki hivyo na baada ya kikao kati ya wenye malori na serikali chin ya waziri mkuu kukutana magufuli alilazimisha tafsili ya sheria itolewe na mwanasheria...
Ati mlala hoi anajenga barabara, kwa kitu gani? mlala hoi hata kodi ya mtaa tu halipi. Barabara hizi zinajengwa na mlipa kodi na wenye magari ambao kwa kila lita moja wanayonunua wanalipa shs 238.00 ambazo zinakwenda kwenye barabara sasa ni hawa hawa wanaolipa ndio huyu waziri anawakejeli ili...
Sijui huyo aliyeandika kuwa hao watu waliitwa kwa Mwalimu halafu wakasamehewa na kupewa kazi, ameyatoa wapi labda ulevini au ndotoni maana hakuna kitu kama hicho. Wahusika walishitakiwa wkiwa 30 na baadaye 18 waliendelea na mashitaka, tisa wakafungwa maisha 1985 na kuachiwa kwa msamaha wa Mwinyi...
Kwa nini asijiwashie moto mwenyewe kwa mahotel anayomiliki Malaysia na Hong Kong na mali aliyolimbikiza mkewe wakati umasikini unakithiri kwa watu wa hali ya chini nchini mwake. Huu ni unafiki at its best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.